Mrao keryo
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,217
- 2,840
Wakuu wa JamiiForums natumai hamjambo wote humu!kama kuna mwenye changamoto kama mimi basi Mungu ampe uponyaji.Amina! Kwa miezi ya karibuni nimekuwa nikisumbuliwa na kinyama kinashuka kutoka njia ya haja kubwa hata sijui ni ugonjwa gani?wakati kama nimesimama muda merefu au kutembea kwa muda ndo kinashuka hadi kufikia kukirudisha kwa mkono.Tafadhali sana kwa anaejua dawa ya kumaliza tatizo hili anjulshe!Asanten sana!