Msaada wa dawa kwa anaejua!

Msaada wa dawa kwa anaejua!

Mrao keryo

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,217
Reaction score
2,840
Wakuu wa JamiiForums natumai hamjambo wote humu!kama kuna mwenye changamoto kama mimi basi Mungu ampe uponyaji.Amina! Kwa miezi ya karibuni nimekuwa nikisumbuliwa na kinyama kinashuka kutoka njia ya haja kubwa hata sijui ni ugonjwa gani?wakati kama nimesimama muda merefu au kutembea kwa muda ndo kinashuka hadi kufikia kukirudisha kwa mkono.Tafadhali sana kwa anaejua dawa ya kumaliza tatizo hili anjulshe!Asanten sana!
 
Kuna mdada niliwah kufanya nae kaz ofis moja.
Alikuwa na bawasiri.
Aisee . Kwanza choo kinafunga had siku 5.
na siku akienda haja anakaa lisaa lizima chooni.
Kwahiyo alikuwa na costipation na anasema inamsumbua kwa muda mrefu na ndio ikapeleka kupata hiyo bawasiri.

Sasa sina uhakika. Je costipation inapelekea kupata Bawasiri?
 
Wakuu wa JamiiForums natumai hamjambo wote humu!kama kuna mwenye changamoto kama mimi basi Mungu ampe uponyaji.Amina! Kwa miezi ya karibuni nimekuwa nikisumbuliwa na kinyama kinashuka kutoka njia ya haja kubwa hata sijui ni ugonjwa gani?wakati kama nimesimama muda merefu au kutembea kwa muda ndo kinashuka hadi kufikia kukirudisha kwa mkono.Tafadhali sana kwa anaejua dawa ya kumaliza tatizo hili anjulshe!Asanten sana!

Pole sana Bro.

nenda hosp ujue kwanza ni nn hiko ambacho hakiko sawa. Na ufanye nn kukitibu au kupunguza.

Ila mostly Like itakuwa bawasiri.
Na kama ni hiyo zipo dawa na masharti ya chakula gan ule.
Na kinapotea na kupona.
 
Back
Top Bottom