Msaada wa Daktari Bingwa wa Sikio Ent Mwanza

Msaada wa Daktari Bingwa wa Sikio Ent Mwanza

charlesfundi

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2017
Posts
229
Reaction score
304
Samahani wakuu ninashida ya sikio nilikua nina fungus nimejaribu kutumia antibiotic sujaona nafuu samahani ambae ana fahamu dactari bingwa wa ENT.

Naomba msaada tafadhali
 
Nenda Bugando mkuu, waweza kuwapata
 
Back
Top Bottom