dottoz JF-Expert Member Jan 29, 2012 1,510 868 Mar 4, 2012 #1 Mimi nimemaliza form 4 mwaka jana,nahtaji chuo chochote kinachofahamika serikalini kinachotoa mafunzo ya "land surveyors"msaada jamani: Thanx.
Mimi nimemaliza form 4 mwaka jana,nahtaji chuo chochote kinachofahamika serikalini kinachotoa mafunzo ya "land surveyors"msaada jamani: Thanx.
+255 JF-Expert Member Jan 1, 2012 1,940 762 Mar 4, 2012 #2 Morogoro kuna chuo kinashughulika na issue za ardhi, sina uhakika na jina lake jaribu kufatilia ka wanatoa hy kozi!
Morogoro kuna chuo kinashughulika na issue za ardhi, sina uhakika na jina lake jaribu kufatilia ka wanatoa hy kozi!
H HAMY-D JF-Expert Member Sep 18, 2011 7,149 3,817 Mar 4, 2012 #3 Chuo cha ardhi morogoro kinakufaa, ukimaliza diplo fanya uombe bachelor ardhi university.
dottoz JF-Expert Member Jan 29, 2012 1,510 868 Mar 4, 2012 Thread starter #4 HAMY-D said: Chuo cha ardhi morogoro kinakufaa, ukimaliza diplo fanya uombe bachelor ardhi university. Click to expand... Asante sana brother vp kuhusu taratibu ama mashart ya kujiunga na chuo hk cha ardhi morogoro?
HAMY-D said: Chuo cha ardhi morogoro kinakufaa, ukimaliza diplo fanya uombe bachelor ardhi university. Click to expand... Asante sana brother vp kuhusu taratibu ama mashart ya kujiunga na chuo hk cha ardhi morogoro?
+255 JF-Expert Member Jan 1, 2012 1,940 762 Mar 4, 2012 #5 dottoz said: Asante sana brother vp kuhusu taratibu ama mashart ya kujiunga na chuo hk cha ardhi morogoro? Click to expand... Soma na hii THREAD unaweza uka gain kitu, Af hii hapa ni WEBSITE yao chuo cha Ardhi Morogoro.
dottoz said: Asante sana brother vp kuhusu taratibu ama mashart ya kujiunga na chuo hk cha ardhi morogoro? Click to expand... Soma na hii THREAD unaweza uka gain kitu, Af hii hapa ni WEBSITE yao chuo cha Ardhi Morogoro.