Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 599
- 206
Naomba kuuliza kuna Chuo chochote Huria cha Udaktari maana. Matoke yangu mimi n kama ifuatavyo CHEM C BIOS C PHY S MSAADA JAMAN
Hakuna hiyo kozi chuo huria ndugu na kwa hizo maksi pambana na IMTUNaomba kuuliza kuna chuo chochote huria cha udaktar maana. Matoke yangu mm n kama.ifuatavyo CHEM C BIOS C PHY S MSAADA JAMAN
IMTU NDIO NNHakuna hiyo kozi chuo huria ndugu na kwa hizo maksi pambana na IMTU
mm najua basi ndio nimeuliza hapayaani Udaktar unataka usokee geto?? utatuua wewe
Siku moja Chuo Kikuu mashuhuri sana Afrika, Idara ya Afya ya Jamii, kiliamua kuanzisha kozi ya afya ya jamii. Watu wengi wahafidhina wakaanza kuulizana, hivi inawezekana kusoma kozi ya afya kwa mtandao?
Wenye kozi wakaamua kutoa mafunzo kwa mtandao, lakini mitihani wanafunzi wote wafanye pamoja darasani.
Wale waliosoma mtandaoni waliwabiti parefu waliosoma darasani.
Mpaka tunapoenda mitamboni kozi ile iliendelea kuwapo.
Moral of the story: MD mtu anaweza kusoma mtandaoni, sehemu ya mafunzo kwa vitendo akarudi kwenye mbinu za kawaida.