Du kimyaWana jf msaada wa simu sumsung galax j7prime, n.a. j7 pro Samsung lan pia hii teminology ya flag ship inamaana gani
pia hii teminology ya flag ship inamaana gani
mmmmh acha kumdanganya mwenzioyani hiyo ni kwamba simu ya J7 ukiagiza inakuja kitu na boxi kwenye meli yenye bendera maalum ya Tanzania, ni zile zilizosajiliwa Zenji. Ndo maana yake "flag ship."
Asante sanaj7 prime around laki 5
j7 pro around laki 6
flagship ni simu kali ya kampuni ambayo latest technology za hio kampuni zimeekwa humo. bei yake mara nyingi inakuwa kubwa na inabadilika kila mwaka. mfano wa flagship ya samsung ni galaxy s8
hakuna alipouliza "flagship."flagship ni simu kali
Samahani chief,Ni utofauti gani uliopo kwa anayemiliki S7 na S7edge au S6 na S6edge,kinachonichanganya ni kuona moja ina bei kubwa zaidi ya nyingine wakati kwa macho yangu nao utofauti mdogo labda wa betri au memoryj7 prime around laki 5
j7 pro around laki 6
flagship ni simu kali ya kampuni ambayo latest technology za hio kampuni zimeekwa humo. bei yake mara nyingi inakuwa kubwa na inabadilika kila mwaka. mfano wa flagship ya samsung ni galaxy s8
yap utofauti ni mdogo hasa kwenye s6, kwenye s7 ndio angalau edge ilikuwa na battery kubwa. soc ni ile ile.Samahani chief,Ni utofauti gani uliopo kwa anayemiliki S7 na S7edge au S6 na S6edge,kinachonichanganya ni kuona moja ina bei kubwa zaidi ya nyingine wakati kwa macho yangu nao utofauti mdogo labda wa betri au memory
Kwa hiyo S7 na S7 edge haina utofauti zaidi ya betri tu,mbona bei ya S7edge kubwa sana,manake kama utofauti ni betri na size yake haukupaswa waweke bei kubwa nmna hiyo kwa edgeyap utofauti ni mdogo hasa kwenye s6, kwenye s7 ndio angalau edge ilikuwa na battery kubwa. soc ni ile ile.