last king of uscoch
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 2,700
- 3,924
Habarini wakuu, natafuta applock fulani hivi niliwahi itumia kwenye simu yangu ya Oppo. App ile niliioenda kwa sababu ilikuwa,kama ukitaka kufungua file nilikolilo ck basi inakuandikia unfortunately app stop, ukipress ok linaondoka.Sasa nimesahau jina la hiyo app
Najua humu kuna wataalamu wengi wenye ujuzi na hili naomba mnisaidie tafadhali,
Natanguliza shukrani kwa michango yenu.
Najua humu kuna wataalamu wengi wenye ujuzi na hili naomba mnisaidie tafadhali,
Natanguliza shukrani kwa michango yenu.