Kama ni tecno W4 . hiyo simu ina uwezo mkubwa wa kukaa na chaji. Restore au Peleka kwa fundi akaichunguze kama battery ina shida.Poleni na hongera kwa majukum ya Leo
Ninaomba msaada wakuu
Kuna app ambayo inaweza kusev charge kwenye simu maana hii kwangu ni shida
Nina simu aina ya w40 tecno chaji inanisumbua sana
Fanya restore halafu ulete mrejesho hapaNdio nashindwa kuelewa nikajua labda kuna app ya kusev chag