Msaada wa ajira

Msaada wa ajira

Keben

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
725
Reaction score
177
Heshima kwenu wanajamvi. Nina BA with education(Gegraphy &Kiswahili).Kwa kuwa Mulugo katuweka mtaani mwezi wa 8 sasa,na kwa kuwa hali ya maisha yanazidi kuwa magumu. Natafuta ajira ya private. Mkwanja usiwe chini ya laki 6 takehome.
 
Heshima kwenu wanajamvi. Nina BA with education(Gegraphy &Kiswahili).Kwa kuwa Mulugo katuweka mtaani mwezi wa 8 sasa,na kwa kuwa hali ya maisha yanazidi kuwa magumu. Natafuta ajira ya private. Mkwanja usiwe chini ya laki 6 takehome.

Kama ni private kwa nini na wewe usianzishe na mimi nije kufanya kwako unilipe laki 6. BA nyokonyoko nataka laki 6, kaa na hilo karatasi lako uwe unaliangalia asubuhi hadi jioni uone kama utapata hata elfu 2
 
Heshima kwenu wanajamvi. Nina BA with education(Gegraphy &Kiswahili).Kwa kuwa Mulugo katuweka mtaani mwezi wa 8 sasa,na kwa kuwa hali ya maisha yanazidi kuwa magumu. Natafuta ajira ya private. Mkwanja usiwe chini ya laki 6 takehome.

Labda ungeweka wazi mkuu, wewe una ubora gani hasa mpaka mshahara kwako lazima uanzie net salary laki sita, ili tuone utakavyouzika kwenye soko la ajira kuliko wenzako wengine
 
Hvi ualimu nayo ni kazi ya kulipwa mshahara mkubwa kweli?
 
Haa haa....huna shida ya kazi hapa kuna nafassi ila take home n 400000...kumbuka mshahara unapenda kuendena na viwango..km vp endelea kusubiri tu kwingne kwa laki 6
 
Back
Top Bottom