BOFREE
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 985
- 1,301
Habari za majukumu,
Mimi ni kijana wa kiume miaka 26 nimemaliza Shahada ya Ualimu masomo Geography na Kiswahili ninaomba mwenye nafasi yoyote ya ajira aweze kunisaidia.
Mimi ni muaminifu na mchapakazi naweza kufundisha shule yoyote ile kuanzia shule ya msingi mpaka secondari napatikana mkoa wa Dar es Salaam kwa yoyote mwenye nafasi naomba tuwasiliane nimtumie mawasiliano ya simu.
Hali yangu si nzuri familia inanitegemea nimejaribu kupambana lakini hali ni mbaya
Mimi ni kijana wa kiume miaka 26 nimemaliza Shahada ya Ualimu masomo Geography na Kiswahili ninaomba mwenye nafasi yoyote ya ajira aweze kunisaidia.
Mimi ni muaminifu na mchapakazi naweza kufundisha shule yoyote ile kuanzia shule ya msingi mpaka secondari napatikana mkoa wa Dar es Salaam kwa yoyote mwenye nafasi naomba tuwasiliane nimtumie mawasiliano ya simu.
Hali yangu si nzuri familia inanitegemea nimejaribu kupambana lakini hali ni mbaya