Msaada Wa Ajira Portal "Application FAILED"

Msaada Wa Ajira Portal "Application FAILED"

Yaani binadamu bwana, umepata changamoto kidogo unaanza kulaumu kuwa urasimu ni mwingi. Jaribu kuwa na mtazamo chanya uta enjoy maisha. Wame avoid kufuta mwenyewe kwa sababu mtu anaweza ona tangazo la diploma na yeye ana diploma na degree akaamua kufuta degree ili aombe kazi
Kwa mantiki hii ukiwa na degree hata kama unacheti cha Diploma pia ndio automatically cheti hicho cha Dip ndio kimekuwa Revoked?
 
Huko kama wanataka mtu mwenye diploma na profile yako inasema una degree mzee lazima igome.

Umezungatia hilo?
Hivi kwanini wanataka certified copies badala ya cheti original?

Kuna sababu yoyote ya kitaalamu?
 
Back
Top Bottom