Msaada: Vyakula vinavyoongeza squirting

man jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2018
Posts
207
Reaction score
204
Habari wana MMU matumaini nyote ni wazima wa afya njema na mna endelea na majukum ya kila siku

Naomba kujua ni vyakula gani vina saidia mwanamke akojoe mkojo mwingi yaani squirting wakati wa mgegedano maana nataman mwenza wangu awe na hiyo Hali

Msaada wenu please


Nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna vyakula ni ufundi tu, japo si kila mwanamke anafanya squirting kama ulivyosimuliwa.... Squirting ya Mhaya ni tofauti kabisa na ya Mchaga japo wote wanakula ndizi


Jr
 
Kaka, utahangaika sana. Sahau kabisa kama hiyo hali inasababishwa na aina ya vyakula. Ukweli ni kuwa wanawake wameumbwa tofauti.
Na huu ndo ukweli.Me ndo nimekutana mwaka Jana na mtu anaye squirt.Na nilianza utundu 1999,hebu fikiria ni wangap nimepitia?lakini sikuwahi ona maji Yale yanayoruka.Wasiwas wangu ni je? mke wangu nitakayemuoa ata-squit?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo kitu inategemea na mwanamke mwenyewe. Mara nyingi ni maumbile wala si chakula.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeanza utundu 1999 and still bado hujaoa?

Kuna haja ya kutunga sheria ya umri wa kuoa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
So kila mwanamke ana halo hiyo.kama ulikuwa unapenda was aina hiyo ungetafuta.

2019 hatua 1 yenye mafanikio zaidi
 


Ngano tu.....kunywa beer zako 6 utaishia kukojoa usiku kucha.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…