Nchi ina laana hii
Mm sjamwaga damu ya mtu mkuu, na sasa nipo kwa wazungu uku nabeba boxi, sipo TzNchi iko safi kabisa, wenye laana ni watu.
Nchi kwa maana ya ardhi ni shahidi tu wa laana maana ardhi ni shahidi au huficha kila baya mwanadamu atendalo au asemalo...."ardhi inalilia kwa damu za watu mlizo mwaga"....