DR. MWAKABANJE
JF-Expert Member
- Nov 7, 2012
- 1,986
- 3,151
Wadau wa biashara hii, naomba ushauri wenu wa wapi ni rahisi kununua bidhaa tajwa kwa jumla kati ya mbeya na Dar kwa mimi niliyeko songea hasa kwa kuzingatia upatikanaji wa bidhaa,bei nk. Asanteni.