Msaada: Usingizi baada ya penzi

Msaada: Usingizi baada ya penzi

Master b

Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
44
Reaction score
10
Mimi ni mwathirika wa kufanya mapenzi wa usiku,i la nikimaliza tu kupiga bao moja, usingizi huwa unapotea kabisa.

Hivyo naombeni msaada nifanyeje ili niwe napata usingizi baada ya kupiga bao.
 
Mkuu Master b, tatizo sio kupata usingizi, nahisi tatizo lako ni mawazo baada ya kufanya mapenzi ambayo yanapelekea wewe kukosa usingizi. Nakushauri upunguze mawazo baada ya kufanya mapenzi na usingizi utaupata bila matatizo yoyote.
 
Last edited by a moderator:
Penzi zaidi tu. Hit it to the the last drop.

Fo'real tho, usipofanya mapenzi unalala bila tatizo, right?
 
Mkuu si ugombane mchana, kisha usiku ulale!
 
kwa hiyo uwezo wako ni kupiga bao moja na kulala?!
 
mimi ni mwathirika wa kufanya mapenzi wa usiku,ila nikimaliza tu kupiga bao moja,usingizi huwa unapotea kabisa.Hivyo naombeni msaada nifanyeje ili nie napata usingizi baada ya kupiga bao.

Hayo mapenzi unafanya na mwanamke au ni wetdreams? Hujaeleweka vzr. Btw punguza mawazo,kula vizuri na ufanye mazoezi ya kutosha au kazi za kuchosha mwili mchana.
 
kwa kawaida mwanaume ukipiga bao, ubongo huwa una toa kemikali inayosababisha urelax na kukufanya hata usinzie kwa muda asa kama hii chemical haitoki utakua na tatizo, either unakula vitu vinavyosababisha excitement badala ya relaxation, vitu kama kahawa red bull, menu yenye too much spice chai au sukari soda nk. Jaribu ku avoid na kabla hujafanya sex jaribu kutengeneza mazingira ya kurelax kwanza. One hour before uwe umeshakula na kupumzika ndio uingie vitani mura.
 
Kamwone daktari kwa sababu huu ni ugonjwa. Wenzio huwa wanakoroma kama vile wamemeza Valium.
 
Huo ni upungufu wa nguvu za kiume ndo mana unakuwa na mawazo baada ya kupiga kimoja dushe linalala mazima
 
Back
Top Bottom