Askudanganye mtu!
Halafu huko mnataka kwenda kufanya nini!?
Mi nimeona vijana waliondoka waungwana!
Wanerudi na vihereni maskioni na vidole juu!
Sijui waliwapa chakula gani huko wakalegea kiasi hicho!
Manake hayo mataifa teule balaa!
Uliberali mpaka kwenye nyumba ya bwana!
Mkuu naona kaudini kana nukia nukia.
Mkalimani unaenda naye au yupo hapo hapo ubalozini na kuna fee inayotozwa iwapo huyo mkalimani ni wa hapo ubalozini.Jibu swali na kumbuka ulijibu nini kipindi cha nyuma anaweza kuuliza swali hilo mara mbili au zaidi yaani mwanzo wa mahojiano na katikati kama vile amesahau. Jitahidi kuwa fluent katika lugha ya mahojiano kama huwezi omba uwe na mkalimani. Muda utakaokaa kule, Je, wewe unafanya kazi gani hivi sasa, wakati haupo utakuwa kwenye likizo au vipi? Kumbuka likizo za Tanzania ni za miezi wakati huku Alaska likizo inaweza kuwa wiki moja, siku moja wiki mbili nk. ni adimu kupata likizo ya mwezi mzima, yaani unachukua wiki moja mwezi huu then baada ya miezi mitatu unachukua wiki mbili nk. Wengi wananyimwa viza kwa kuchukua likizo zao kwa mkupuo ati mwezi mzima, wanakuwa na mashaka.[/B][/SIZE][/COLOR][/I]
Kwakuongezea pia! Usiende Ubalozini ukiwa na ndevu nyingi dizaini ya wale ndugu zetu! zinaweza kuleta utata!
Kwakuongezea pia! Usiende Ubalozini ukiwa na ndevu nyingi dizaini ya wale ndugu zetu! zinaweza kuleta utata!
Hapo hakuna visa ndugu yangu. We unasema rafiki? Mie uncle wangu kabisa ninekwama. Nimepeleka hati ya nyumba leseni ya biashara cheti cha ndoa vyeti vya kuzaliwa watoto wawili mkataba mnono wa kazi bank statement iliyonoga na clearance ya polisi. Wakasema simply 'anko wako kakaa US miaka 6 sasa ni bora yeye aje kutembelea ndugu zake na sio weww kwebda huko' jamaa fedhuli kisha akaita mutu ingine...mie nikapewa kapaspoti kangu.
Umekwama kwa kuwa umekiri una ndugu tuko Usa isivyo. Ungekana kumjua ujibu unaenda kivyako. Kuna watoto walinyimwa visa baada kuonyeshwa picha ya baba yao na kushangilia yes our dad, our uncle. Wakasema wamegundua watoto wanapelekwa kuwajoin wazazi waliozamia Usa. Sir name nazo huwanyima watu visa wakigundua uko Na uhusiano na mzamiaji mnaofanana majina ya mwisho.Hapo hakuna visa ndugu yangu. We unasema rafiki? Mie uncle wangu kabisa ninekwama. Nimepeleka hati ya nyumba leseni ya biashara cheti cha ndoa vyeti vya kuzaliwa watoto wawili mkataba mnono wa kazi bank statement iliyonoga na clearance ya polisi. Wakasema simply 'anko wako kakaa US miaka 6 sasa ni bora yeye aje kutembelea ndugu zake na sio weww kwebda huko' jamaa fedhuli kisha akaita mutu ingine...mie nikapewa kapaspoti kangu.
Hata tukipaweka vzr bongo hakuna 50cent,rihana,Celine,jay z,.Lazima twende tu haina namnaKwani ni lazima kwenda huko Marekani? Mimi huwa nikipita nje ya balozi na kuwakuta watanzania wamepigwa foleni na wamejikunyata kisawasawa huwa ninahuzunika sana? Ni muhimu sana kwenda huko kwao??? Huu ni utumwa na ukoloni mamboleo, tutengeneze kwetu hapa bongo pawe pazuri na pavutie!
Bro, kwakweli nimecha.BarikiwaSomalia nenda tu interview kukwepa na kurusha gruned kama ukiwa fit karijbu somal land
Sijakuelewa uandishi wako. Unauliza au unajibu? Jifunze kuweka alama mf,!?. {}:;* NkMkalimani unaenda naye au yupo hapo hapo ubalozini na kuna fee inayotozwa iwapo huyo mkalimani ni wa hapo ubalozini.
UmeonaeeeeeeHii ndio faida ya Jamii Forums.....hata kama uko ANGANI umeshindwa kushusha ndege, wewe uliza hapa jinsi gani ya kuishusha na bila shaka utasaidiwa.