Kig
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 1,076
- 456
wadau naomba mnipe uzoefu wenu kuhusu namna ya kusajili bidhaa kwenye Shirika la viwango vya ubora wa bidhaa Tanzania (TBS) na Mamlaka ya kudhibiti chakula na dawa Tanzania (TFDA). naomba kujua taratibu zinazotumika, changamoto ninaweza kumbana nazo kwenye mchakato wa kusajili bidhaa yangu, faida na hasara za kusajili au kuto sajili bidhaa yangu. Natanguliza shukrani.