MSAADA: UPANDISHWAJI VYEO (MADARAJA) KWA WALIMU UNAZINGATIA NN?

barwani

JF-Expert Member
Jan 14, 2015
238
160
Wadau habari za muda huu,jamani mimi naomba kujuzwa juu ya vigezo vinavyotumika kumpandisha cheo mwalimu,maana kwangu ninaona kama ni jambo la bahati nasibu.
Mfano,kuna waraka ulotoka wa 2016 ambao unelezea walimu waloajiriwa 2012 na 2013 wapandishwe madaraja,sasa ukakasi unakuja kipaumbele wakapewa wa 2012 na 2013 wakatengwa,ila kuna maeneo 2012 wamepandishwa pamoja na wa 2013
Kama ni mlengwa au una uelewa juu ya huo waraka na ni lini unatakiwa uwatendee haki wahusika msaada PLEASE...!!
 
kuna walioajiriwa 2011 halmashauri ya jiji la Tanga mpaka leo bado wanasugua benchi. unauliza wa 2012? walimu wanahitaji kushikamana sana!
 
kuna walioajiriwa 2011 halmashauri ya jiji la Tanga mpaka leo bado wanasugua benchi. unauliza wa 2012? walimu wanahitaji kushikamana sana!
Hili swala la kupandisha walimu madaraja linafanywa as if mwalimu anasaidiwa tu,it is not fair,serikali imulike utendaji kazi katika halmashauri zetu
 
Ipo siku hii kada itaheshimiwa na kupewa kipaumbele wakati muda wa marekebisho ushatupita
 
Back
Top Bottom