Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,816
- 8,665
hii ni minimumKwa SUA, undergraduate ili aweze kufundisha Chuo Ni kuanzia GPA ya 3.8
hii ni minimumKwa SUA, undergraduate ili aweze kufundisha Chuo Ni kuanzia GPA ya 3.8
nimesoma miaka mitatu chuoni yenye semesta sita, kila semesta unatafuta gpa maana itaenda kujumlishwa na gpa za semesta zote ili kupata wastani wa average gpa unavyoanza chuo hadi unapomaliza,GPA zina jumlishwaje kupata ili kuja kustand gpa moja tu ndani ya moaka mitatu au minne? wanachukuwa ya mwaka w mwisho au wanafanyaje?
kwahiyo wanajumulisha zote wanagawa kwa 6 sio?!nimesoma miaka mitatu chuoni yenye semesta sita, kila semesta unatafuta gpa maana itaenda kujumlishwa na gpa za semesta zote ili kupata wastani wa average gpa unavyoanza chuo hadi unapomaliza,
Kila semesta ina G.p.a, Mfano umesoma kozi ya miaka mitatu basi kuna semesta 6, Kinachofanyika gpa zote za kila semesta zinajumlishwa alafu unagawanya kwa 6, Yaani hata semesta ya kwanza tangu unapoingia chuo mpaka semesta ya mwaka wa mwishoGPA zina jumlishwaje kupata ili kuja kustand gpa moja tu ndani ya moaka mitatu au minne? wanachukuwa ya mwaka w mwisho au wanafanyaje?
CHUKUA MFANO HUUkwahiyo wanajumulisha zote wanagawa kwa 6 sio?!
poa poaCHUKUA MFANO HUU
View attachment 1658304
Hapa usipoteze muda kwenda kusomea Post Graduate, Masters au P.H.D ukiwa na Lengo la kuwa Lecturer, Ni kitu kisichowezekana,
Hivi huyu mwenye kaGPA kadogo cha undergraduate (kama mtoa post 3.1) halafu GPA kubwa ya 4 point...akiamua kurudia Bachelor nyengine wataiconsider na kuajiriwa kama lecturer licha ya Bachelor huyo ameipata baada ya kuwa na masters?CHUKUA MFANO HUU
View attachment 1658304
Hapa usipoteze muda kwenda kusomea Post Graduate, Masters au P.H.D ukiwa na Lengo la kuwa Lecturer, Ni kitu kisichowezekana,
waytai consider bachelor ya kwanza sio uliyorudia.Hivi huyu mwenye kaGPA kadogo cha undergraduate (kama mtoa post 3.1) halafu GPA kubwa ya 4 point...akiamua kurudia Bachelor nyengine wataiconsider na kuajiriwa kama lecturer licha ya Bachelor huyo ameipata baada ya kuwa na masters?
Aisee kwa hiyo jamaa hana alternativewaytai consider bachelor ya kwanza sio uliyorudia.
Kwani kazi ni kuwa lecturer tu? atafute kazi nyingine tu kwani tatizo liko wapi, walipoweka kigezo cha lectirer awe na gpa walau ya 3.5 walikuwa na maana yao,Aisee kwa hiyo jamaa hana alternative
Hiyo ndio kazi ya ndoto yakeKwani kazi ni kuwa lecturer tu? atafute kazi nyingine tu kwani tatizo liko wapi, walipoweka kigezo cha lectirer awe na gpa walau ya 3.5 walikuwa na maana yao,
Ni Karatasi tu gumu gumu kidogoivi chet za degree kinakaaje?
Average ya miaka yote uliyosema.GPA zina jumlishwaje kupata ili kuja kustand gpa moja tu ndani ya moaka mitatu au minne? wanachukuwa ya mwaka w mwisho au wanafanyaje?
Hata mimi nilikuwaga naota mi ni raisi mkuuHiyo ndio kazi ya ndoto yake
kweli mkuu....na vip kama mtu akiwa na GPA 4.0 y undergraduate then masters akapata GPA 3.6 kw masomo y mathematical modelling...huyu vp? haez kua assistant lecturer chuo chochote ata vya kati kwa uzoefu wko mkuu!Kwani kazi ni kuwa lecturer tu? atafute kazi nyingine tu kwani tatizo liko wapi, walipoweka kigezo cha lectirer awe na gpa walau ya 3.5 walikuwa na maana yao,
vitu vipo wazi mbona, bachelor degree uwe na 3.5 + na masters uwe na 4.0+kweli mkuu....na vip kama mtu akiwa na GPA 4.0 y undergraduate then masters akapata GPA 3.6 kw masomo y mathematical modelling...huyu vp? haez kua assistant lecturer chuo chochote ata vya kati kwa uzoefu wko mkuu!
ADA ZA MASTER'S DEGREE LEVEL ZILIVYOCHANGAMKA,vitu vipo wazi mbona, bachelor degree uwe na 3.5 + na masters uwe na 4.0+
labda arudie tena masters
Ndio hivyo mkuu, ndio maana kuna watu wakifika chuo huwa ni wao na masomo tu muda mwingiADA ZA MASTER'S DEGREE LEVEL ZILIVYOCHANGAMKA,
INAUMA SANA KU_RESEAT.
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app