Msaada: Undergraduate Fee structure ya UDSM

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,162
103,603
Wakuu naombeni msaada wa Fee Structure ya UDSM undergraduate.Kuna mambo kadhaa ningependa kujua kwa bahati mbaya siyaoni kwenye website yao. Labda kama kuna mtu ana prospectus ya 2016/17
  1. Direct Cost ni kiasi gani
  2. Hostel ni kiasi gani
  3. Je, utaratibu wa kulipa ada ukoje, kama wanafanya registration next week na list ya HESLB haijatoka?Mwanafunzi wangu ana Two ya 10 PCM na amepata Engineering ambayo ni priority kwenye mkopo.
Asanteni sana
 
Nadhani ungeingia kwenye website yao ungepata msaada zaidi au wwnye kusoma hpo watakusaidia wakiona
 
Nadhani ungeingia kwenye website yao ungepata msaada zaidi au wwnye kusoma hpo watakusaidia wakiona
Hili sikulisema kwanzo....................kwa bahati mbaya siyaoni majibu ya maswali yangu kwenye website yao. Labda kama kuna mtu ana prospectus ya 2016/17
 
Wakuu naombeni msaada wa Fee Structure ya UDSM undergraduate.Kuna mambo kadhaa ningependa kujua kwa bahati mbaya siyaoni kwenye website yao. Labda kama kuna mtu ana prospectus ya 2016/17
  1. Direct Cost ni kiasi gani
  2. Hostel ni kiasi gani
  3. Je, utaratibu wa kulipa ada ukoje, kama wanafanya registration next week na list ya HESLB haijatoka?Mwanafunzi wangu ana Two ya 10 PCM na amepata Engineering ambayo ni priority kwenye mkopo.
Asanteni sana
Nakumbuka direct cost n 77,400/=,hostel n 500/= per day kwa Mabibo wakati Campus nazani ni 700/= per day(ambapo atalipa kwa semester ambazo n miez minne plus two weeks za orientation so almost zaid ya sku 134)..kuhusu ada kwa zle degree programs zenye priorities zinazojulikana huwa ukishalipa tu direct costs unafanyiwa registration(sijajua kuhusu degree programs nyingine maana yangu ilikuwaga priority)..i hope nimekusaidia kwa uelewa wangu mdogo mwingine anaefahamu zaidi atakuelezea zaid
 
Nakumbuka direct cost n 77,400/=,hostel n 500/= per day kwa Mabibo wakati Campus nazani ni 700/= per day(ambapo atalipa kwa semester ambazo n miez minne plus two weeks za orientation so almost zaid ya sku 134)..kuhusu ada kwa zle degree programs zenye priorities zinazojulikana huwa ukishalipa tu direct costs unafanyiwa registration(sijajua kuhusu degree programs nyingine maana yangu ilikuwaga priority)..i hope nimekusaidia kwa uelewa wangu mdogo mwingine anaefahamu zaidi atakuelezea zaid
Mkuu wewe umenisaidia sana.............labda kwa experience yako majina ya HESLB yalitoka mda gani baada ya registration?
 
Mkuu wewe umenisaidia sana.............labda kwa experience yako majina ya HESLB yalitoka mda gani baada ya registration?
Sisi mwaka ule hayakuchelewa yalibandikwa wiki zile zile za registration so kila mtu akawa anajua anatakiwa ajazie bei gani kwenye ada yake,sijajua kwa mwaka huu maana kwa sasa hali haieleweki vizuri..na pia hapo kwenye hela ya hostel nazani kwenye upande wa Campus nimekosea ni 800 per day badala ya 700 per day,maana nakumbuka nlilipa 108,000/= kwa semester ya kwanza.
 
Sisi mwaka ule hayakuchelewa yalibandikwa wiki zile zile za registration so kila mtu akawa anajua anatakiwa ajazie bei gani kwenye ada yake,sijajua kwa mwaka huu maana kwa sasa hali haieleweki vizuri..na pia hapo kwenye hela ya hostel nazani kwenye upande wa Campus nimekosea ni 800 per day badala ya 700 per day,maana nakumbuka nlilipa 108,000/= kwa semester ya kwanza.
One love kaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom