slyve Ramon
Member
- Jul 18, 2017
- 65
- 34
Habarini Wakuu,
Natumaini ni wazima wa afya nimekuja mbele yenu naomba msaada tafadhal nina safari ya kwenda Dodoma toka Songea kesho kufanya clearance ya mambo ya chuo nilimaliza Miaka kadhaa iliopita ila sikumaliza kukamilisha mambo yote.
Hivyo basi naomba kama Kuna mtu anaweza nikodishia gheto au kunipa hifadhi siku mbili au tatu nitakapokua huko ,hali ya uchumi kwangu sio nzuri sana na wadau niliowacheki kwa kufikia mambo yameenda sio nilivyotarajia.
Msaada kama una mtu unaemjua anaweza nisaidia pakufikia nitashukuru sana
Kuhusu kufikia guest house bajeti zinafeli ndo maana nmekuja kwenu nipate ushauri wakuu
Natumaini ni wazima wa afya nimekuja mbele yenu naomba msaada tafadhal nina safari ya kwenda Dodoma toka Songea kesho kufanya clearance ya mambo ya chuo nilimaliza Miaka kadhaa iliopita ila sikumaliza kukamilisha mambo yote.
Hivyo basi naomba kama Kuna mtu anaweza nikodishia gheto au kunipa hifadhi siku mbili au tatu nitakapokua huko ,hali ya uchumi kwangu sio nzuri sana na wadau niliowacheki kwa kufikia mambo yameenda sio nilivyotarajia.
Msaada kama una mtu unaemjua anaweza nisaidia pakufikia nitashukuru sana
Kuhusu kufikia guest house bajeti zinafeli ndo maana nmekuja kwenu nipate ushauri wakuu