wanajamii naombeni kama kuna anayefahamu daktari bingwa wa magonjwa ya pua au Frontal sinuses
kwa Bongo tafadhari.natanguliza shukrani kwa watakaochangia.
Prof Minja anapatikana Mikocheni hospital
Kuna pia hospital moja Karibu Kwa Sheihk Yahya hapo Magomeni ni wataalamu wa hayo magonjwa
Namkubali Prof. Minja,ila hy wa Magomeni Dr. Ole,bora umuone mwanae nae ni Dr. Huyo baba almanusura angeniondoa,hakubali kushindwa kwn pesa.Inaitwa Ekenywa hospital, wanatibu vizuri, ipo magomeni mwembechai.
Huyu is the best. lakini kwa wengi wetu waswahili wengi ni ngumu,maana yeye anatibu kwa vyakula na matunda,lakini waswahili ukiwaambia kuleni machungwa na malimau wao watakuuliza kidonge cha vitamin C huna?. Ingawa nasikia nae bei zake si ndogo.Ukishindwa kote mwone Dr.Ndodi, Magomeni Sanitarium Clinic!