acha mashara umejiungaje jfYale mabasi ya njano mi sikupanda
Ulale nawewe!acha mashara umejiungaje jf
na dollari izo zimewekwa mubasharaAnaitwa Tibandeke au mzirankende wa kwa m7 anatafuta Figo bei hii hpo na namba za cm kaweka fursa mezani, cyo figo wa Ureno figo za binadamuhuyo ni nani? mbona km sio mbongo?
ila maelezo hayajajitosheleza
mganda namba za sim ni bongo huoni kuna kupigwaAnaitwa Tibandeke au mzirankende wa kwa m7 anatafuta Figo bei hii hpo na namba za cm kaweka fursa mezani, cyo figo wa Ureno figo za binadamu
😄😄😄 nilikuwa mkesha komamangaUlale nawewe!
Wa nini😄😄😄 nilikuwa mkesha komamanga
Toa hata buku....Noma sana. Mil 200.
Ngoja tushee iwafikie watu wengi zaidi.
👀👽 unataka nikuoneshe😖Chakupigwa unacho sasa? 😏