Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 10,096
- 8,199
Amani iwe nanyi wana JF.
Niende moja kwa moja kwenye mada, nina ndugu yangu wa Kike kwa sasa hivi ana miaka 34, miaka ya nyuma alitokea kupendwa na mwanaume mmoja, walipendana sana na lengo lao lilikuwa kuwa Mume na Mke, kwa bahati mbaya yule Mwanaume alibadilika na kuwa na tabia mbaya ambazo ilibidi huyu ndugu yangu kusitisha mahusiano nae.
Ndugu yangu huyu alimpenda sana huyu Mwanaume na kumwamini, baada ya kuachana nae aliamua kuishi maisha yake peke yake hakutaka tena kuwa kwenye mahusiano na mwanaume yeyote mpaka sasa hivi ni muda mrefu. Amepata tatizo la kutokwa na Damu nyingi akiwa katika siku zake tofauti na ilivyokuwa mwanzoni, inasemekana Mwanamke asipokutana na Mwanaume kimwili kwa muda mrefu tatizo hili hujitokeza. Je kuna Dawa za kutibu hili tatizo? Madaktari na wenye kujua tatizo hili msaada unahitajika.
Niende moja kwa moja kwenye mada, nina ndugu yangu wa Kike kwa sasa hivi ana miaka 34, miaka ya nyuma alitokea kupendwa na mwanaume mmoja, walipendana sana na lengo lao lilikuwa kuwa Mume na Mke, kwa bahati mbaya yule Mwanaume alibadilika na kuwa na tabia mbaya ambazo ilibidi huyu ndugu yangu kusitisha mahusiano nae.
Ndugu yangu huyu alimpenda sana huyu Mwanaume na kumwamini, baada ya kuachana nae aliamua kuishi maisha yake peke yake hakutaka tena kuwa kwenye mahusiano na mwanaume yeyote mpaka sasa hivi ni muda mrefu. Amepata tatizo la kutokwa na Damu nyingi akiwa katika siku zake tofauti na ilivyokuwa mwanzoni, inasemekana Mwanamke asipokutana na Mwanaume kimwili kwa muda mrefu tatizo hili hujitokeza. Je kuna Dawa za kutibu hili tatizo? Madaktari na wenye kujua tatizo hili msaada unahitajika.