Msaada unahitajika. Michongo miwili yote imetiki

It's very possible kuacha apo kazi na kwenda ajira nyingine (yakudumu)

Ishawahi kunitokea kuna terms za mkataba pia inategeme unaongea nao vipi

Sikutoa hata shilling na nilipwa mshahara wa Mwezi husika na HR akanipatia baraka zote.
 
Mshika mawili........... Hapo lazima akubali kufanya kazi hii anayofanya Sasa maana yupo ndani ya mkataba. Kama anataka kuvunja mkataba arejee vigezo na masharti ya kazi yake Mara nyingi huwa Ni kurudisha mshahara wa miezi mitatu mbeleni wanapotafuta mbadala wake.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Anaweza kuacha kazi,cha muhimu asome mkataba vizuri aangalie termination clause inasemaje.awe muwazi tu some extent.Kwa mfano kule wakimuita asaini mkataba na aoembe muda wa kuripoti atleast a month na huku awape notisi ya mwezi mmoja awafanyie kazi bure ingawa kwa mkataba wa mwaka mmoja notisi nayo inakuwa ni fupi zaidi.Cha muhimu ni yeye kujiamini na kuamini katika uamuzi wake na kuonesha maturity kwa waajri wake wote.Kila la heri
 
Usiwaze hilo swala dogo sana ww andika barua sepa angalia maslahi yake we usiwaonee huruma wao mda wa kufukuza kazi ukifika hawaonei mtu huruma.
 
Back
Top Bottom