Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,400
Acha ufalla mke sio ndugu yako ung'ang'anie
Ofcourse hajafanya vizuri kusambaza mambo yanayotokea ndani, alipasa atulie na wewe myamalize . Jaribu kukaa naye inaonesha ana wivu sana juu yako na hakuamini kwa namna fulani kutokana na mambo anayokutana nayo kwenye simu yakoHapana mie nilitumiwa kwenye group kosa langu ni kuifoward kwa MTU mwengine... Nilikiri kosa ila yeye mpaka wakwe zake kawambia...kua mie naangalia x...sasa hapo ni sawa LIon?
Nimekuelewa mkuu...thanksOfcourse hajafanya vizuri kusambaza mambo yanayotokea ndani, alipasa atulie na wewe myamalize . Jaribu kukaa naye inaonesha ana wivu sana juu yako na hakuamini kwa namna fulani kutokana na mambo anayokutana nayo kwenye simu yako
Pia jitahidi kuepuka mambo yanayomkera mwenzako mfano kuchati sana na watu wa jinsia tofauti , pia hicho kitendo cha kushare porn kwenye magroup hakifai kabisa mkuu , ukizingatia wewe ni baba wa familia. mie enzi zangu nilikuwa nikitamani kuangalia porn naingia online na stream, huwezi kuta nimedownload kwenye device yangu wala kushare na mtu. CONFIDENCE, SELF RESPECT, RESPONSIBILITY, LOYALTY ndio sifa za real GENTLEMAN so act like one.
huyo mkeo ana wivu uliopitiliza ambao mda aote akiona unaongea na mtu anahisi ni mwanamke wa njeAisee jamani naomba mnisaidie ...mie na mke wangu na mtoto wetu mmoja na huyu mke wangu tunapendana na kuahidiana mapenzi ya dhati cha ajabu.. Tunaweza tukawa tupo kwenye furaha mfulilizo...mpaka watu mtaani wanatumaind the way tunavyopendana... Sasa ikitokea tu kukorofishana kidogo wife ye hudai taraka.. Na siku nyengine hua anachukua cm yangu kwa siri halafu huanza kuchati na watu ambao anahisi yeye mie wapenzi wangu yaani akiona SMS hata imeandikwa""sawa wangu""..mitusi atakayopata huyo MTU si yanchi hii
Baya zaidi hua ananichunia sana akinuna atakaa hata siku 3 bila ya mawasiliano mazuri...hivi juzi kakuta nimetumiwa x kwenye group...na Mimi nikaifoward kwa MTU mwengine weeee....hadi wazazi wangu waliju kua naagalia x.. Sasa hii tabia nahisi ka inanichosha...mpaka naandika Uzi huu tayari ashadivert simu yangu...
Nahitaji jinsi ya kuiondoa hiyo divertion pia nahitaji nini cha kufanya ili amani itawale???
mkeo anakupenda sana hali inayompelekea awe na wivu uliopitiliza inayomfanya hata ukiongea na cm anahisi yy anaibiwa hivyo akijua mwanamke wa nje na halafu kuondoa dirvet ili cm ziingiie kwako nenda call setring then call dirvet or call forwarding then clear all dirvetAisee jamani naomba mnisaidie ...mie na mke wangu na mtoto wetu mmoja na huyu mke wangu tunapendana na kuahidiana mapenzi ya dhati cha ajabu.. Tunaweza tukawa tupo kwenye furaha mfulilizo...mpaka watu mtaani wanatumaind the way tunavyopendana... Sasa ikitokea tu kukorofishana kidogo wife ye hudai taraka.. Na siku nyengine hua anachukua cm yangu kwa siri halafu huanza kuchati na watu ambao anahisi yeye mie wapenzi wangu yaani akiona SMS hata imeandikwa""sawa wangu""..mitusi atakayopata huyo MTU si yanchi hii
Baya zaidi hua ananichunia sana akinuna atakaa hata siku 3 bila ya mawasiliano mazuri...hivi juzi kakuta nimetumiwa x kwenye group...na Mimi nikaifoward kwa MTU mwengine weeee....hadi wazazi wangu waliju kua naagalia x.. Sasa hii tabia nahisi ka inanichosha...mpaka naandika Uzi huu tayari ashadivert simu yangu...
Nahitaji jinsi ya kuiondoa hiyo divertion pia nahitaji nini cha kufanya ili amani itawale???
hapo ndo unamkaribisha ibilisi mkuuu....ndoa ni ya watu wawili tuuu...wa 3 shetani.....hao nao binadamu wana yao.....mkishindwa nyie wawili its ovaaaaa....sheetNenda kanisani kama mkristo au msikitini kama Muislamu,waeleze viongozi wako wa dini wakusaidie,ila na wewe omba kwa Mungu wako ili akuepushie hayo majanga maana shetani naona tayari ameshabisha hodi kwenye ndoa yako..
Daaaah anabahati hakuolewa na Mimi, nisivyopenda kufuatiliwa simu yng, mapeeeema angekuwa kwao. Au na wewe ashakuona umemfia sanaaa!!Yaan jaby hizo ndio ishu zake...hivyo hivyo...halafu anachojivunia kua home kwa wazazi wangu wanamkubali aisee...Bimkubwa akisikia tu nimekorofishana nae hua haniulizi ananilaumu tuu....sasa nahisi nimpe likizo ndogo kwanza