ajira ngumu
Member
- Dec 21, 2014
- 64
- 4
naombeni kuliiza halmashauri ya wiliya ya ulanga,iko mkoa ganii??
Usimlaumu kailaumu CCMhivi siku hizi jiografia haifundishwi shule za msingi? wilaya kongwe iliyopo mkoa kongwe kama Morogoro mtu hawezi kuwa hajui ilipo maadamu umesoma na kuhitimu elimu ya msingi Tanzania hii.
naombeni kuliiza halmashauri ya wiliya ya ulanga,iko mkoa ganii??
Iko moro we wa katavi imeitoa wap hyo........ Ifakara najua sio ngeni masikion sasa ukifk ifakara unavuka mto kilombero then unaitafuta mahenge na ndyo ulanga yenyew inaanzia
hivi siku hizi jiografia haifundishwi shule za msingi? wilaya kongwe iliyopo mkoa kongwe kama Morogoro mtu hawezi kuwa hajui ilipo maadamu umesoma na kuhitimu elimu ya msingi Tanzania hii.
Tusiwalaumu sana kwa sababu jiografia ya mikoa yetu huwa inabadilika, mfano zamani mahenge enzi ya mkoloni ulikuwa mkoa na ulanga ilikuwa ndani ya huo mkoa.....Mkuu kama somo hilo la jiografia limefutwa na kuwa eti maarifa ya jamii (social study) unafikiri vijana wetu wataelewa kweli jiografia ya nchi hii na nchi za jirani?? Kweli hawa wanasiasa wanatuharibia vijana wetu
Tusiwalaumu sana kwa sababu jiografia ya mikoa yetu huwa inabadilika, mfano zamani mahenge enzi ya mkoloni ulikuwa mkoa na ulanga ilikuwa ndani ya huo mkoa.....
Ni kweli hapo upo sahihi kabisa...inabidi tuwe update na mambo kama haya...mfano utakuta mtu hajui nchi yetu ina mikoa mingapi, ukimuuliza atakwambia 25....! Kwa hiyo muhimu kujua jiografia yetu kila wakati kama ulivyo eleza mdau mwenzangu.Kuna vitu vingine kama jiografia ya nchi yako ni muhimu kuifatilia hakuna shaka juu ya hilo
Mbona albam na nyimbo za wasanii.wanazijua sana ??
Hili latakiwa lianze na sisi wazazi ndani ya familia
Iko moro we wa katavi imeitoa wap hyo........ Ifakara najua sio ngeni masikion sasa ukifk ifakara unavuka mto kilombero then unaitafuta mahenge na ndyo ulanga yenyew inaanzia