BABA LEA WATOTO
JF-Expert Member
- May 6, 2017
- 364
- 816
Simu imefanyiwa reset baada ya hapo inashindwa kukamilisha hatua za awali....kwanza inanitaka niunganishe Wi-Fi na nikiunganisha inafika kwenye kipengele cha kusearch updates then inalete ujumbe tajwa na kurudi mwanzo. Nimejaribu hata kufanya factory mode na ku clear data bado tatizo ni lile lile naomba kuelekezwa nini naweza fanya.