Msaada-Ujenzi wa choo bora..

Mkeshahoi

JF-Expert Member
Jan 4, 2009
2,469
281
Wadau heshima mbele..
Kuna ndugu anahitaji kujenga choo bora pale Hedaru... kaniuliza kuhusu gharama za ujenzi na uwepo wa mafundi wazuri wanaoweza kufanya hiyo kazi....
Nimelileta humu kwa msaaada tafadhali....
mbarikiwe..
 
Back
Top Bottom