Msaada: Uhusiano wa transfer ya chuo na mkopo

Msaada: Uhusiano wa transfer ya chuo na mkopo

MUSSA GUETTA

Member
Joined
Oct 11, 2015
Posts
38
Reaction score
2
Jamani naomba msaada wa mawazo, nilipangwa na TCU
St Joseph bachelor of computer engineering sasa
nimefanya transfer to hubert kairuk kuchukua
medicine.

Tatizo mkopo niliopewa n wa computer engineering, naomba mnisaidie mawazo.

Je ninaweza kuappeal helsb coz ada ya MD n kubwa sana
ukilinganisha na mkopo niliopewa na MD n special
faculty.

Tafadhali mwenye ushauri.
 
jaman naomba msaada wa mawazo...nlpangwa na tcu
st joseph bachelor of computer engineering sasa
nmefanya transfer to hubert kairuk kuchukua
medicine...tatizo mkopo niliopewa n wa computer
engineering...naomba mnisaidie mawazo je ninaweza
kuappeal helsb coz ada ya MD n kubwa sana
ukilinganisha na mkopo niliopewa na MD n special
faculty...tafadhalin mweny ushaur plz

Usisubutu kuamisha mkopo utalia,tegemea kupata pesa mwakan,
 
Kwanini unahama bila kufanya uchunguzi wa ada na mkopo?haina jinsi nenda kalipe kwanza then apeal next year unaweza pata mkopo mzuri,,,
 
haha! umebugi mkuu... Bila ya kuongezewa tu huo mkopo...Transfer ya mkopo kutoka st. Joseph kuja Kairuki inachukua mwaka mzm na zaid..


anyway pole kwa hilo japo mkopo wa tuition fee hauna shda utaenda tu ht kwa kuchelewa lkn accormodation (boom) utasugua sana bench



lkn cha kukupa matunaini ni kua kauli mbiu ya """" HAPA KAZI TU"""" is on fire there might be a difference may be
 
Kuhamisha mkopo inachukua semester nzima..sijui kwa.sasa mie kipind kile nilihamisha mkopo chuo nilichokuepo walinipa 880k ada ilikua chin kidogo 1,100k nikahamia chuo chenye ada 1.5 ila bodi wakaniongezea mkopo wa ada.had 1,280k ila ilinibidi nilipe kwanza ada yao ili nifanye registration mkopo ulivyoingia nikawa naicarry forward had mwaka wa 3.
 
jaman naomba msaada wa mawazo...nlpangwa na tcu
st joseph bachelor of computer engineering sasa
nmefanya transfer to hubert kairuk kuchukua
medicine...tatizo mkopo niliopewa n wa computer
engineering...naomba mnisaidie mawazo je ninaweza
kuappeal helsb coz ada ya MD n kubwa sana
ukilinganisha na mkopo niliopewa na MD n special
faculty...tafadhalin mweny ushaur plz

we unawajua bodi.ni rigid hawaelewi watakusumbua p,usipokuwa makini utakosa mkopo,we hama ila uwe mbishii
 
eee! apa ni kaz tu! mm pia nmehamia NIT janga linanihusu ilo, ila shukran wakuu mnaotufarij, kwan mpaka sasa mkopo unasoma wa kwanza, nataka enda HESLB
 
KUAMISha mkopo ni kwenda NACTE unaandika barua webyew nacte ndo wana iprocess ..kwenda Helsb maana ukienda helsb wanakwambia nenda nacte ..so hao woote hapo juu naona wanaongea bila kufanya tafiti ..mm nimeenda pale nimepewa maelezo
 
jaman naomba msaada wa mawazo...nlpangwa na tcu
st joseph bachelor of computer engineering sasa
nmefanya transfer to hubert kairuk kuchukua
medicine...tatizo mkopo niliopewa n wa computer
engineering...naomba mnisaidie mawazo je ninaweza
kuappeal helsb coz ada ya MD n kubwa sana
ukilinganisha na mkopo niliopewa na MD n special
faculty...tafadhalin mweny ushaur plz

Mkuu umepataje hiyo transfer? Mbona medicine siioni kwenye list ya transfer.. Help plz
 
KUAMISha mkopo ni kwenda NACTE unaandika barua webyew nacte ndo wana iprocess ..kwenda Helsb maana ukienda helsb wanakwambia nenda nacte ..so hao woote hapo juu naona wanaongea bila kufanya tafiti ..mm nimeenda pale nimepewa maelezo

Mkuu yawezekana process za nacte na TCU ni tofauti. Mleta mada katokea TCU siyo NACTE
 
Mkuu umepataje hiyo transfer? Mbona medicine siioni kwenye list ya transfer.. Help plz

kaka nilienda kairuk moja kwa moja nkaongea nao kikubwa hlf wakapeleka jna tcu...ila hujachelewa wah kairuk hata kesho uongee nao wakiridhika na tokeo watakuchukua kama chance zpo...ndo ivo mkuu
 
kaka nilienda kairuk moja kwa moja nkaongea nao kikubwa hlf wakapeleka jna tcu...ila hujachelewa wah kairuk hata kesho uongee nao wakiridhika na tokeo watakuchukua kama chance zpo...ndo ivo mkuu

Thanks .. Kipo wapi mkuu?? Mie nipo dar
 
Back
Top Bottom