Mnyakyusa Ipinda
JF-Expert Member
- Dec 9, 2020
- 439
- 1,526
Hello wakuu, hasa madaktari, msaada wenu wa ushauri.
My friend amenionesha huu ugonjwa wa ngozi kwa picha akauliza kwa nini imetokea hivyo nikashindwa kujua shida ni nini na afanye nini ili hali hiyo iondoke, anawashwa sometimes mgongoni na anajikuna inatokea kama mbabuko i dont know ukurutu au fungus au mba au ni nini, na zimeanza kusambaa kidogo kidogo.
NB: Yuko mahali kikazi mbali na mji thats why hajapata nafasi ya kwenda hospital.
Ahsanteni.
Sky Eclat
My friend amenionesha huu ugonjwa wa ngozi kwa picha akauliza kwa nini imetokea hivyo nikashindwa kujua shida ni nini na afanye nini ili hali hiyo iondoke, anawashwa sometimes mgongoni na anajikuna inatokea kama mbabuko i dont know ukurutu au fungus au mba au ni nini, na zimeanza kusambaa kidogo kidogo.
NB: Yuko mahali kikazi mbali na mji thats why hajapata nafasi ya kwenda hospital.
Ahsanteni.
Sky Eclat