Hi!
Ndugu wana jamvi hili
Naomba nitoeni kwenye kashimo haka, hivi ni madini gani Duniani yenye gharama kubwa.
Ni madini gani yana bei kubwa yanayopatikana Tanzania
Madini aina ya Ruby ni madini ya aina gani na je gharama yake ikoje kwa gram moja?
Msisahu kuniambia wapi kwa Dar maduka ya kununua madini?
Ndugu wana jamvi hili
Naomba nitoeni kwenye kashimo haka, hivi ni madini gani Duniani yenye gharama kubwa.
Ni madini gani yana bei kubwa yanayopatikana Tanzania
Madini aina ya Ruby ni madini ya aina gani na je gharama yake ikoje kwa gram moja?
Msisahu kuniambia wapi kwa Dar maduka ya kununua madini?