Msaada UDOM: Kozi ya bachelor science in computer & information security

Msaada UDOM: Kozi ya bachelor science in computer & information security

kichakaa man

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2011
Posts
5,497
Reaction score
5,186
Kwa heshima kubwa kabisa naombeni msaada wenu mdogo wangu kachaguliwa kusoma architecture mwaka huu (KWA SABABU MAALUM SITAJI JINA LA CHUO) sasa kwa bahat mbaya kapata taarifa kuwa kuna mtiti sana wa physics (awal alijua ni ile ya kiolevel olevel) sasa Dogo anahofu kudisco . KASOMA HGE NA KAFAULU ANA DIVISION 1 POINT 7 NA O LEVEL ALIKUWA NA DIVISION 2 MASOMO YA SCIENCE ALIPATA PHYSCIS B NA CHEMISTRY B+ , MATHENATICS B+

DOGO ANATAKA KUHAMIA UDOM KUSOMA BACHELOR OF SCIENCE IN COMPUTER & INFORMATION SECURITY

Sasa naomben msaada wenu wa kimawazo kujua vizur hii koz katika suala zima la ajira na hata akitaka kujiari hii koz inaweza kumfaa kwel katika ushindan wa soko la ajira katika ya watu wa IT, computer science

Nisadien kupata vizur taarifa za hiz koz .
Nashukuru sana natanguliza asante
 
Kwa heshima kubwa kabisa naombeni msaada wenu mdogo wangu kachaguliwa kusoma architecture mwaka huu (KWA SABABU MAALUM SITAJI JINA LA CHUO) sasa kwa bahat mbaya kapata taarifa kuwa kuna mtiti sana wa physics (awal alijua ni ile ya kiolevel olevel) sasa Dogo anahofu kudisco . KASOMA HGE NA KAFAULU ANA DIVISION 1 POINT 7 NA O LEVEL ALIKUWA NA DIVISION 2 MASOMO YA SCIENCE ALIPATA PHYSCIS B NA CHEMISTRY B+ , MATHENATICS B+

DOGO ANATAKA KUHAMIA UDOM KUSOMA BACHELOR OF SCIENCE IN COMPUTER & INFORMATION SECURITY

Sasa naomben msaada wenu wa kimawazo kujua vizur hii koz katika suala zima la ajira na hata akitaka kujiari hii koz inaweza kumfaa kwel katika ushindan wa soko la ajira katika ya watu wa IT, computer science

Nisadien kupata vizur taarifa za hiz koz .
Nashukuru sana natanguliza asante
mzee haiwezekani, pale Cive hapawezi , tena mwambie aache Tamaa atasomaje HGE akasome CIS udom, aisee aende uko architecture CIS atadisco asubuhi tyu, mzee pale physics, math zipande maana kuna namba ,zinapigwa
 
mzee haiwezekani, pale Cive hapawezi , tena mwambie aache Tamaa atasomaje HGE akasome CIS udom, aisee aende uko architecture CIS atadisco asubuhi tyu, mzee pale physics, math zipande maana kuna namba ,zinapigwa
Samahani sijakuelewa vizur fafanua vizur . kwahiyo hiyo kozi ni tait zaid kuliko architecture ila pia Dogo hesabu yupo vizur sio mchovu
 
Samahani sijakuelewa vizur fafanua vizur . kwahiyo hiyo kozi ni tait zaid kuliko architecture ila pia Dogo hesabu yupo vizur sio mchovu
hana vigezo vya kusoma CIS mzee ,mpaka upige PCM , PGM ,au EGM..
 
mzee haiwezekani, pale Cive hapawezi , tena mwambie aache Tamaa atasomaje HGE akasome CIS udom, aisee aende uko architecture CIS atadisco asubuhi tyu, mzee pale physics, math zipande maana kuna namba ,zinapigwa
Acha kumtisha mwenzako
 
hana vigezo vya kusoma CIS mzee ,mpaka upige PCM , PGM ,au EGM..
1477263492375.jpg


Kwa upande wa vigezo wanahitaji two principal passes in mathematics and physics/geography/chemistry/Economics
 
hatishwi mtu miye nilikuwapo pande za INFO mzee naijua CIS , watamla kichwa ..kijana akasome course zingine tu
Pamoja na hayo hebu nipe uzoefu kwenye suala la mfumo mzima wa ajira na ushindani wake kwenye soko la ajira upoje huo ili nijue
 
View attachment 423193

Kwa upande wa vigezo wanahitaji two principal passes in mathematics and physics/geography/chemistry/Economics
soma vizuri wanakwambia MATH NA MOJA KATI YA HYO MASOMO ....MFANO PHY NA MATH, GEO NA MATH ,CHEMISTY NA MATH AMA ECONOMICS NA MATH ILA SIYO GEO NA ECONOMICS MKUU, LAZIMA UPIGE MATH
 
Pamoja na hayo hebu nipe uzoefu kwenye suala la mfumo mzima wa ajira na ushindani wake kwenye soko la ajira upoje huo ili nijue
ni watu wanaohitajika sana mzee hasa kwenye ulimwengu huu wa cyber sercurity
 
soma vizuri wanakwambia MATH NA MOJA KATI YA HYO MASOMO ....MFANO PHY NA MATH, GEO NA MATH ,CHEMISTY NA MATH AMA ECONOMICS NA MATH ILA SIYO GEO NA ECONOMICS MKUU, LAZIMA UPIGE MATH
Nimekuelewa Nina madogo matwins sasa Mkubwa anahitaji kumfuata mdogo wake ye kaenda udom economics& statics (huyu alisoma EGM) NINA ULIZA ILI NIJUE CHA KUWASHAURI WOTE
 
soma vizuri wanakwambia MATH NA MOJA KATI YA HYO MASOMO ....MFANO PHY NA MATH, GEO NA MATH ,CHEMISTY NA MATH AMA ECONOMICS NA MATH ILA SIYO GEO NA ECONOMICS MKUU, LAZIMA UPIGE MATH
Kwahiyo nambie kuhusu mambo ya ajira na soko lake kiujumla ndiyo shida yangu kubwa zaid
 
Kwahiyo nambie kuhusu mambo ya ajira na soko lake kiujumla ndiyo shida yangu kubwa zaid
soko lake ni kubwaaa saana, me ningejua mapema kabla ya kufika chuoni ningeisoma, yaani ajira yake nje njee tena unapiga ndefu na kujiajiri simple sana.
 
soko lake ni kubwaaa saana, me ningejua mapema kabla ya kufika chuoni ningeisoma, yaani ajira yake nje njee tena unapiga ndefu na kujiajiri simple sana.
Poa mkuu asante kwa taarifa
 
Kama anajiweza kwenye hesabu (akiweza hesabu anakua sharp kichwani) aende. Huko kuna coding, kama lelemama anadisco asubuhi. Ila akikaza anasoma tu

Pia kwa kumsaidia, mwambie asiende kusoma kama anasoma History. Hizo course zinahitaji mtu usome na utafute material zingine mtandaoni ujiweke Fiti. Akimaliza akafanye certifications, hapo atakua na soko balaa
 
Samahani sijakuelewa vizur fafanua vizur . kwahiyo hiyo kozi ni tait zaid kuliko architecture ila pia Dogo hesabu yupo vizur sio mchovu
Kama yupo vizuri kwa hesabu unaogopa nini? Aende akasome acha uoga, hesabu za kawaida tuuu, si atafundishwa?
 
Back
Top Bottom