Ndio mkuu nilituma jana usiku wa saa tano baada ya kupata mwongozo
Babu Kubwa Ndugu Yangu, Ni Matumaini Yangu Watakuita Ila Ikiwa Sivyo Basi Waandikie Barua Wakupe Mrejesho Kwanini Hawakukuita Ili Urekebishe Makosa Kwa Nafasi Za Kazi Zijazo.
Wakati unasubiri kusaidiwa kuandaika CV yako, watu wameshakuwahi wao kwa kuweka wazi mambo yako muhimu, kuwa makinin mara nyingine, unaweza kutoa opportunity ambayo we mwenyewe huja ikwaa badoWakuu naomba mwongozo wenu jinsi ya kuandika au kuaandaa wasifu wa kurasa moja.
Ni vitu gani vinavyotakiwa na ni muhimu kama utatakiwa kuandika CV ya page moja.
Msaada wakuu na pia natanguliza shukrani.
Wakati unasubiri kusaidiwa kuandaika CV yako, watu wameshakuwahi wao kwa kuweka wazi mambo yako muhimu, kuwa makinin mara nyingine, unaweza kutoa opportunity ambayo we mwenyewe huja ikwaa bado
Unaongelea CV au resume?CV huwezi kuiandika kwenye Page moja labda kama wewe ndio umetoka chuo.Resume unaweza kuiandika kwenye page moja ingawa huwa wanashauri iwe.pages 2 max.CV na resume ni vitu 2 tofauti.Kingine hizi zinatofautiana kulingana na kazi unayoitafuta.Ni pm nikupe maelezo nina uzoevu wa kuapply na kupata kazi hadi za nje ya nchi.
Hivi 12:00 noon ni usiku au mchana maana deadline si 12:00 noon...mi najua ni mchanaNdio mkuu nilituma jana usiku wa saa tano baada ya kupata mwongozo
Asanteh sana wakuu
mkuu namm naku pm aisee barua zangu kadhaa ht majb tu cpatUnaongelea CV au resume?CV huwezi kuiandika kwenye Page moja labda kama wewe ndio umetoka chuo.Resume unaweza kuiandika kwenye page moja ingawa huwa wanashauri iwe.pages 2 max.CV na resume ni vitu 2 tofauti.Kingine hizi zinatofautiana kulingana na kazi unayoitafuta.Ni pm nikupe maelezo nina uzoevu wa kuapply na kupata kazi hadi za nje ya nchi.
Vp mkuu wamekuita kwenye usahili?Ndio mkuu nilituma jana usiku wa saa tano baada ya kupata mwongozo
Asanteh sana wakuu
Ni mchanaHivi 12:00 noon ni usiku au mchana maana deadline si 12:00 noon...mi najua ni mchana
Ukiona kimya assume application yako hujakidhi vigezoHivi hawa jamaa wameshaita kwa ajili ya interview, maana walisema wataita kuanzia Wiki hii
Ukiona kimya assume application yako hujakidhi vigezo
Tumeshatoswa MkuuJamani mwenye mrejesho juu ya hawa jamaa kama wameita kwenye usahili atujuze tujuwe kama tumeshatoswa tena
Tumeshatoswa Mkuu
Mtoa mada aje atupe mrejesho, labda Mambo fresh kwake.Sijui kwanini naamini kwamba bado hawajaita kwa ajili ya interview, imani yangu inanituma hivyo. (japokua naamini kutokuita huko hakuwezi ku-secure nafasi yangu au yako kuwepo kwenye list ya watakao itwa).
Punguza size ya manenoNaona nikiweka tu work experience nazidisha page na je wadhamini sio muhimu ?!!