Msaada, TV yangu imezima ghafla

MUBIKU

JF-Expert Member
Oct 24, 2014
276
376
Habari za muda huu wakuu, nimepata changamoto kwenye tv yang ya LG smart tv, tangu juzi ilikuwa inawaka na kujizima yenyewe kila baada ya dk 40, nikajarbu kuangalia labda ni setting za timer, lakin setting zote ziko sawa , ikanibid nifanye factory setting.

Lakin jana ndo imezima mazima wala ile taa nyekund ya start haiwak tena , wenye ujuz na uzoefu naomben msaada wenu maana kwa hichi kipind cha lock down bila tv ni changamoto kukaa ndani.

AHSANTENI
20200506_102332.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleee,
Mbona hizi case za LG zimeongezeka...
Mkuu kama haiwaki kabisa h
nahisi ni suala la kupeleka kwa fundi kabisa, mafundi wa online ni endapo na masuala software/settings
 
Pole ndugu hizi TV ni nzuri ila ni delicate pia kwenye kukumbana na nguvu ya umeme uliozidi kidogo. Mimi ya kwangu imeungua Kioo hadi sasa nimeiweka tu mana huko dukani Kioo naambiwa laki mbili na nusu,na vioo used havipatikani kirahisi. Yaweza kuwa kuna kitu/ vitu vimeungua na ukizingatia hutumii stabilizer kama ilivyokuwa kwangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole ndugu hizi TV ni nzuri ila ni delicate pia kwenye kukumbana na nguvu ya umeme uliozidi kidogo. Mimi ya kwangu imeungua Kioo hadi sasa nimeiweka tu mana huko dukani Kioo naambiwa laki mbili na nusu,na vioo used havipatikani kirahisi. Yaweza kuwa kuna kitu/ vitu vimeungua na ukizingatia hutumii stabilizer kama ilivyokuwa kwangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe kwa LG ni vyema ukawa na TV Guard. Basi TV zao nyanya sana.
 
Mkuu ungekua unatumia tv guard ingekua ni vuzuri zaidi

Sema kwa hilo tatizo kwenye tv yako ni bora ungeipeleka tu fundi
 
Mkuu hiyo tayari ata yangu pia ilikufa kwa namna hiyo kupeleka kwa fundi nikaambiwa kioo kimekufa.

Jipange uchukue nyingine usisahau kutumia stablizer
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom