Msaada, TV yangu imezima ghafla

Msaada, TV yangu imezima ghafla

Ungeongea na maeneo ulipo naamini ingesaidia sana kupata msaada.
Ok kwa kuanzia:
1. Inatumia power supply ya ndani au external(adapter)?
2. Ina warranty?
Tatu ukinijibu hayo nitaangalia namna ya kukupa msaada ila pia kwenye power supply kunakuwa na fuse pia.

"رمضان كريم وصوم مقبول"
 
Habari za muda huu wakuu, nimepata changamoto kwenye tv yang ya LG smart tv, tangu juzi ilikuwa inawaka na kujizima yenyewe kila baada ya dk 40, nikajarbu kuangalia labda ni setting za timer, lakin setting zote ziko sawa , ikanibid nifanye factory setting.

Lakin jana ndo imezima mazima wala ile taa nyekund ya start haiwak tena , wenye ujuz na uzoefu naomben msaada wenu maana kwa hichi kipind cha lock down bila tv ni changamoto kukaa ndani.

AHSANTENI
View attachment 1441386

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama imezima ghafla tafadhali iwashe ghafla itawaka na kuendelea na kawaida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole naiona ni LG OG kabisa'
Ama tulinunua used?
Habari za muda huu wakuu, nimepata changamoto kwenye tv yang ya LG smart tv, tangu juzi ilikuwa inawaka na kujizima yenyewe kila baada ya dk 40, nikajarbu kuangalia labda ni setting za timer, lakin setting zote ziko sawa , ikanibid nifanye factory setting.

Lakin jana ndo imezima mazima wala ile taa nyekund ya start haiwak tena , wenye ujuz na uzoefu naomben msaada wenu maana kwa hichi kipind cha lock down bila tv ni changamoto kukaa ndani.

AHSANTENI
View attachment 1441386

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama taa nyekundu(standby light) haiwaki embu jaribu mambo yafuatayo: tazama power cable au adapter yako kama imeunganishwa vizuri kwenye switch socket na kama unatumia TV guard jaribu kuichomoa na kuunganisha moja kwa moja kwenye socket ikishindikana chomoa waya ya umeme toka kwenye socket kisha bonyeza power button na ishikilie kwa sekunde kama 10 iwapo itashindika njia hii ya ku reset memory basi njia ya kuchomeka na kuchomoa TV waya wa umeme kwenye socket yako au washa zima ya switch socket itumike X 4 ndani ya sekunde 3 ikishindikana chomoa waya wa umeme iache hata kwa siku 4 kisha chomeka tena ikishindikana kabisa basi Fanya mpango wa kuwasiliana na mtaalam wa Electronics.Pole kwa lock down

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom