Ipige pige vibao itatoa tu sauti.Kama kuna fundi naomba aje anisaidie hili tatizo
Tv imegoma ghafla kutoa sauti
Ulivyouliza kama fundi kweli.. kumbe kadada fulani ka Tom boy kaizi..😂Brand ya Tv? Nchi zake ni ngapi? Iko ukutani au mezani?
Jibu tuendelee