Kama sheria inamruhusu na haitokuwa na madhara ya afya yake kwanini asichukue maamuzi.
Pia kidini..hapa kama ni muislamu inaruhusiwa kama haijafika 3 months sijui wenzetu wakiristo inakuwa vipi?
Kama sheria inamruhusu na haitokuwa na madhara ya afya yake kwanini asichukue maamuzi.
Pia kidini..hapa kama ni muislamu inaruhusiwa kama haijafika 3 months sijui wenzetu wakiristo inakuwa vipi?
Tunza mimba hiyo wewe sio wa kwanza kubakwa.
Btw kama umebakwa, kwa nini hujafikisha shauri mahakamani?
Usiue...hivyo ndivyo ilivyoandikwa
Kuua dhambi jaman! Mbona
kuna wengi tu wamefanyiwa kitendo kama hicho na wana amani tu na watoto
wao
Akubaliane na hali
hiyo maana si vyema kuua kiumbe kisicho na hatia. Na kwa kweli si kwamba
akidhamilia kuua hicho kiumbe atakiua na yeye kubaki salama. La hasha
na yeye aweza kupoteza maisha vilevile. Huo ndo ushauri wangu kwa
leo.
mahakamani kwenda inawezekana ila uoni kuwa ndio atazidi kujitangaza kuwa kabakwa?na watu wengi zaidi watalifahamu hili jambo na jamii itamchukuliaje?
Ahsante kwa ufafanuzi ila ww una shauri nn katika hili?
Two wrong doesn't makes it
right,moja kabakwa pili akaabort sio soln ya kuifuta hiyo incidence
ilotokea hata nukta
Akubaliane na kilichotokea lkn pia aiset akili yake kutokuwaza hilo
tukio na ajifunze kumpenda na kumfurahia mtoto atakaezaliwa sio yy wa
kwanza kukutwa na hilo