Msaada tutani

Msaada tutani

Kukaa na mtu ambae haumpend kabisa ni ishu aisee bora hata ungekua na feelings nae hata kidogo.
me na maswali kidogo kama hautojal?je umewahi kupenda?kama ndio uliempenda yuko wap?
Zaid sana kwasasa piga goti chini sali sala zote ujuazo muombe Mungu akusaidia,kama huyu unayempenda ndie mume wako trust me mtaishi kwa upendo na aman tele
amina dada asante kwa ushauri.
 
Mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh! Kungwi nimeingia kazini!

Ujue LOVE, HATE, DISGUST, LONELYNESS ARE ALL JUST MERE FEELINGS AND NOTHING MORE BUT FEELINGS! Its just your mind playing tricks with your head and reasoning capacity! Ukiangali kifalsafa hakuna cha zaidi ila self induced happiness and unhapiness!!!!!!!! Hii ni kwa sie philosophers wa ukwee ndo tunalijua hili.

You can only attain SELF ACTUALIZATION only if you leran to reason BEYOND FEELINGS AND EMOTIONS!!!!!!!

So the important thing is not "THE FEELINGS" you are feeling because if you ask me ALL THE FEELINGS IN THE WORLD DONT PUT FOOD ON THE TABLE!!!!!! Plus THEY AINT PERMANENT! They are just whims that pass! Kuna watu i was certain nawapenda could bet my life on them, but that was then, now THEY DISGUST ME! I can puke at just the mention of their names!!!!!! SEE! The important thing is YOUR WELFARE DEAR!!!!!!!!

DONT BET YOUR FUTURE ON FEELINGS THINS LIKE HAPPINESS, LOVE CAUSE THEY CHANGE IN A MINUTE! AND NEITHER IS A PERMANENT THING!!!!!!!!!! See beyond the ILLUSIONS AND CAMOUFLAGE!

Huu ushauri nimeupenda sana. U must be genius trust me!!
 
ni wachache wanaosema "tunapendana" na wakafunga ndoa, ndoa nyingi zinakua ni kama suprise kwa wote....wanaopendana wanaachana thn unakutana na wako wa maisha....sisi tunapanga Mungu anaamua
 
ni wachache wanaosema "tunapendana" na wakafunga ndoa, ndoa nyingi zinakua ni kama suprise kwa wote....wanaopendana wanaachana thn unakutana na wako wa maisha....sisi tunapanga Mungu anaamua
ni kweli dada yangu! mungu atasaidia kuamua.
 
waliosema "penda ujapopendwa, utajapenda usipopendwa" hawakukosea. Mwanamke anauwezo wa kujifunza kupenda na kwa wewe ambae unakutana na anaekupenda anaweza kukufanyia vitavyosababsha umpende. Japo mwanzo wa namba ni 1 ila atakaeanza kuhesabia 20 atafka 100 mapema zaid.
 
waliosema "penda ujapopendwa, utajapenda usipopendwa" hawakukosea. Mwanamke anauwezo wa kujifunza kupenda na kwa wewe ambae unakutana na anaekupenda anaweza kukufanyia vitavyosababsha umpende. Japo mwanzo wa namba ni 1 ila atakaeanza kuhesabia 20 atafka 100 mapema zaid.
lolz! ok nimekupata saana.
 
Habari wanajf!!
NI iv nina swali je kuna madhara gani ya mtu kuolewa na mwanaume ambaye labda hujampenda saana au hujampenda kabisa lakin yeye amekupenda saana? Na sio kwamba uko kifedha au ki maisha laah ni kwakuwa umpendae hakupend then akatokea anayekupenda lkn huna izo feeling nae au zipo chachee mno! kuna watu washawahi kukutwa na ili haswa?? na je mtu ukisema ukubali faida zake ni zipi na hasara zake ni zipi??
pia je ni weke majority ya watu humu dunian wameowa au wameolewa na they next best alternative lkn sio lile chaguo lao la kwanza as in labda unaempenda hakupendi ivyo yaan! kuna ukweli wowote ktk iloo...?
asanteni.
Hakuna raha duniani kuolewa na Mwanaume ambaye amekupenda unaweza kuona kama dunia yote ni ya kwako, nina maana gani kusema hivyo, utakuwa humpendi mwanzo lakini jinsi atavyokuwa anakucare na kukujali, kukuthamini na kukupenda hata wewe moyo wako utabadilika na kumpenda na mkaishi maisha mazuri sana na mkazaa watoto wazuri wenye upendo, mimi ni mfano mzuri sana, kiasi ambacho nafurahia maisha yangu ya ndoa.
 
Lisa njoo ujibu hili swali kuna siku nishawahi kusoma maelezo yako ukitolea ufafanuzi swali mithili ya hili...

Nimekwisha mjibu, kuwa hakuna raha katika dunia hii kama kupendwa. wakati wote unakuwa na raha na furaha ndani ya moyo wako, na afadhali upendwe wewe na mwanaume kuliko mwanamke ampende mwanaume, huwa wanateseka sana. kwa hiyo ni juu yake kupanga ni kuchagua, apendwe au apende.
 
Habari wanajf!!
NI iv nina swali je kuna madhara gani ya mtu kuolewa na mwanaume ambaye labda hujampenda saana au hujampenda kabisa lakin yeye amekupenda saana? Na sio kwamba uko kifedha au ki maisha laah ni kwakuwa umpendae hakupend then akatokea anayekupenda lkn huna izo feeling nae au zipo chachee mno! kuna watu washawahi kukutwa na ili haswa?? na je mtu ukisema ukubali faida zake ni zipi na hasara zake ni zipi??
pia je ni weke majority ya watu humu dunian wameowa au wameolewa na they next best alternative lkn sio lile chaguo lao la kwanza as in labda unaempenda hakupendi ivyo yaan! kuna ukweli wowote ktk iloo...?
asanteni.

Asa si utakuja kukumbushia kwa umpendaye...mwenyewe unatengeneza mazingira ya kuwa ka small house,,,,,,lol
 
Nimekwisha mjibu, kuwa hakuna raha katika dunia hii kama kupendwa. wakati wote unakuwa na raha na furaha ndani ya moyo wako, na afadhali upendwe wewe na mwanaume kuliko mwanamke ampende mwanaume, huwa wanateseka sana. kwa hiyo ni juu yake kupanga ni kuchagua, apendwe au apende.

Hewalaaa...

Umemjibu kama ambavyo nilikuwa ninatarajia na nilipenda maneno hayo uliyomshauri ayasome kutoka kwa mwanamke mwenzake...
 
Hewalaaa...

Umemjibu kama ambavyo nilikuwa ninatarajia na nilipenda maneno hayo uliyomshauri ayasome kutoka kwa mwanamke mwenzake...
Ahaaa ngoja nami nianze kuwachuja kati ya hawa wanaonipenda...Kwahio yule ninaempenda atanitesa ehhhh?I thought raha kupendana wote!!!
 
Ahaaa ngoja nami nianze kuwachuja kati ya hawa wanaonipenda...Kwahio yule ninaempenda atanitesa ehhhh?I thought raha kupendana wote!!!

I don't know dearest...

Huwa naamini katika kupenda na kupendwa kwa wakati mmoja, ndiyo maana sikuandika chochote.

Lakini wapo wanamama wanaoamini kuwa mwanaume akikupenda basi mwanamke utajifunza kupenda ndiyo maana nikamuita huyo rafiki yangu ashuhudie.
 
I don't know dearest...

Huwa naamini katika kupenda na kupendwa kwa wakati mmoja, ndiyo maana sikuandika chochote.

Lakini wapo wanamama wanaoamini kuwa mwanaume akikupenda basi mwanamke utajifunza kupenda ndiyo maana nikamuita huyo rafiki yangu ashuhudie.
nami hii inanicontract saana wish iwe two way traffic haya mambo ya mm kuwa simpendi daah! nways ngoja niko kuchuja bado.
 
Asa si utakuja kukumbushia kwa umpendaye...mwenyewe unatengeneza mazingira ya kuwa ka small house,,,,,,lol

si ndio maana niko naomba ushaurii........ mpaka hapo ujanishauri ss uko unaniweka kunako situation ngumu zaid.
 
Hakuna raha duniani kuolewa na Mwanaume ambaye amekupenda unaweza kuona kama dunia yote ni ya kwako, nina maana gani kusema hivyo, utakuwa humpendi mwanzo lakini jinsi atavyokuwa anakucare na kukujali, kukuthamini na kukupenda hata wewe moyo wako utabadilika na kumpenda na mkaishi maisha mazuri sana na mkazaa watoto wazuri wenye upendo, mimi ni mfano mzuri sana, kiasi ambacho nafurahia maisha yangu ya ndoa.

asante lisa kwa ushauri wako.
 
si ndio maana niko naomba ushaurii........ mpaka hapo ujanishauri ss uko unaniweka kunako situation ngumu zaid.
obsesd dear....ushauri wangu ndo upo kwenye mfumo wa swali lol...anyway usiolewe tu eti kwa sababu unamkomoa asiyekupenda......
 
Last edited by a moderator:
Mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh! Kungwi nimeingia kazini!

Ujue LOVE, HATE, DISGUST, LONELYNESS ARE ALL JUST MERE FEELINGS AND NOTHING MORE BUT FEELINGS! Its just your mind playing tricks with your head and reasoning capacity! Ukiangali kifalsafa hakuna cha zaidi ila self induced happiness and unhapiness!!!!!!!! Hii ni kwa sie philosophers wa ukwee ndo tunalijua hili.

You can only attain SELF ACTUALIZATION only if you leran to reason BEYOND FEELINGS AND EMOTIONS!!!!!!!

So the important thing is not "THE FEELINGS" you are feeling because if you ask me ALL THE FEELINGS IN THE WORLD DONT PUT FOOD ON THE TABLE!!!!!! Plus THEY AINT PERMANENT! They are just whims that pass! Kuna watu i was certain nawapenda could bet my life on them, but that was then, now THEY DISGUST ME! I can puke at just the mention of their names!!!!!! SEE! The important thing is YOUR WELFARE DEAR!!!!!!!!

DONT BET YOUR FUTURE ON FEELINGS THINS LIKE HAPPINESS, LOVE CAUSE THEY CHANGE IN A MINUTE! AND NEITHER IS A PERMANENT THING!!!!!!!!!! See beyond the ILLUSIONS AND CAMOUFLAGE!

They disgust you?
You can even puke?
Love is patient, kind. It does not envy, it doesn't boast and it's not proud. It is not self-seeking neither is it easily angered. It keeps no record of wrongs. Love protects, always trusts and hopes. LOVE NEVER FAILS!

I am afraid you didn't love "them ", you rather wanted to fulfill your desires that's why at the moment you can "puke. "...
 
Back
Top Bottom