obsesd
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 1,225
- 530
Habari wanajf!!
NI iv nina swali je kuna madhara gani ya mtu kuolewa na mwanaume ambaye labda hujampenda saana au hujampenda kabisa lakin yeye amekupenda saana? Na sio kwamba uko kifedha au ki maisha laah ni kwakuwa umpendae hakupend then akatokea anayekupenda lkn huna izo feeling nae au zipo chachee mno! kuna watu washawahi kukutwa na ili haswa?? na je mtu ukisema ukubali faida zake ni zipi na hasara zake ni zipi??
pia je ni weke majority ya watu humu dunian wameowa au wameolewa na they next best alternative lkn sio lile chaguo lao la kwanza as in labda unaempenda hakupendi ivyo yaan! kuna ukweli wowote ktk iloo...?
asanteni.
NI iv nina swali je kuna madhara gani ya mtu kuolewa na mwanaume ambaye labda hujampenda saana au hujampenda kabisa lakin yeye amekupenda saana? Na sio kwamba uko kifedha au ki maisha laah ni kwakuwa umpendae hakupend then akatokea anayekupenda lkn huna izo feeling nae au zipo chachee mno! kuna watu washawahi kukutwa na ili haswa?? na je mtu ukisema ukubali faida zake ni zipi na hasara zake ni zipi??
pia je ni weke majority ya watu humu dunian wameowa au wameolewa na they next best alternative lkn sio lile chaguo lao la kwanza as in labda unaempenda hakupendi ivyo yaan! kuna ukweli wowote ktk iloo...?
asanteni.