MGAWARIZIKI
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 305
- 47
Nkinga ndilinkinga lakini ndilimboni town ndilinaredio jangu jikwimba kasongo! Mzee kama umependa oa fasta wakinga ni watu ambao wanajua kutafuta hela hakuna cha mwanaume wala mwanamke wote ni watafutaji ni watu ambao wanatabia nzuri na heshima sana kuhusu ushirikina ni makabila yote TZ, nimejaribu kuangalia historia nimegundua hawa watu ni wavumilivu sana henzi za mkoloni mkinga alikuwa akipiga mzigo kwa wakoloni kama kuchuma chai mashamba ya mkonge huko Tanga n.k lakini mhehe alikuwa na kiburi sana alikuwa hakubali kufanya kazi kwa malipo ya chini alikuwa akisema ndimgayasida yaani sina shida leo kibao kimegeuka wakinga wengi ni matajiri wanalala ndani wahehe wanalala nje kuwalinda kama walinzi, Afu wakinga wanajua bajeti akipata 2000 atakula 500 tu inayobaki bank yupo tayari kulala njaa kama hajaingiza kitu. Nakushauri uoe mkinga huyo usimwache