jogoo dume
Member
- May 12, 2014
- 70
- 77
Natumaini msomaji haujambo,naleta kwenu ombi la kuelimishwa/kufahamishwa.
Nna mdogo wangu wa kike aliyemaliza kidato cha nne mwaka jana ambaye ana ulemavu wa macho(Blind). Matokeo yake hayampi nafasi ya kuendelea na A level.
Nimejaribu kutafuta mtandaoni chuo ambacho anaweza kupata mafunzo ya ufundi hapa tanzania bila mafanikio.
Hivyo naomba yeyote mwenye uelewa/kufahamu wapi kuna chuo kinachotoa mafunzo ya ufundi kwa walemavu wa macho hapa Tanzania anijulishe.
Natanguliza shukrani kwa kuchukua muda wako na kusoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nna mdogo wangu wa kike aliyemaliza kidato cha nne mwaka jana ambaye ana ulemavu wa macho(Blind). Matokeo yake hayampi nafasi ya kuendelea na A level.
Nimejaribu kutafuta mtandaoni chuo ambacho anaweza kupata mafunzo ya ufundi hapa tanzania bila mafanikio.
Hivyo naomba yeyote mwenye uelewa/kufahamu wapi kuna chuo kinachotoa mafunzo ya ufundi kwa walemavu wa macho hapa Tanzania anijulishe.
Natanguliza shukrani kwa kuchukua muda wako na kusoma.
Sent using Jamii Forums mobile app