Uchaguzi 2020 Msaada tutani, kuwasilisha malalamiko sheria imekaaje?

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,823
35,828
Kwa wapenda haki, uhuru na maendeleo ya jamii.

Hivi sheria kuhusiana na mwenendo wa mgombea iko je? Ni lazima kuwa mgombea tu kulalamika? Au je ni lazima iwe ni chama tu? Miye binafsi kama mpiga kura siruhusiwi kupeleka malalamiko rasmi dhidi ya mgombea huyu:

1. Anayeita washindani wengine majina?
2. Anayedai wengine ni vibaraka?
3. Anayedai wengine wametumwa na mabeberu?
4. Anayetumia lugha zisizokuwa rasmi majukwaani?
5. Anayetumia rushwa majukwaani?
6. Mwenye maneno ya kinyanyasaji majukwaani?

Hasa hasa kama tunaye mgombea kama huyo?

Kwa hakika yapo mashitaka mengi mtuhumiwa huyu anastahili kutupa majibu.

Maendeleo, haki na uhuru havina hati miliki ya vyama!
 
Bia yetu siti zote mbili 1 na 2 umekalia kwa pamoja?

Si unge edit moja tu ukakalia moja?

Wewe umekalia zote mbili na bado huna jipya?
 
Bia yetu vipi jombi, seat #1 na #2 uliziwahi ukazikalia zote - kama kawaida yako na utopolo, kumbe uliamua kuja kuzitema?

Au chakupimbi aligoma kukulipa stahiki zako tena?

Kazi unayo.
 
Bia yetu, Jinga Lao,Wakudadavua , Kawe Almuni na Crimea.

Hawajalipwa stahiki zao na Mr Slow slow wanakidai chama Mamilioni kwa Kukitetea mitandaoni.

HAWA MATANGA WANALIPWA LUMUMBA
 
Bia yetu, Jinga Lao,Wakudadavua , Kawe Almuni na Crimea.

Hawajalipwa stahiki zao na Mr Slow slow wanakidai chama Mamilioni kwa Kukitetea mitandaoni.

HAWA MATANGA WANALIPWA LUMUMBA

Huyo bia yetu alikuwa kawahi seat zote za mbele #1 na #2.

Mabandiko yake yamedumu hapo kwa zaidi ya 24 hours. Bila shaka katika kushinikiza malipo kaona isiwe taabu.
 
Back
Top Bottom