sidsel Nelsen
New Member
- Sep 19, 2018
- 3
- 3
Habari zenu wakuu
Naombeni msaada wa maelekezo kuhusu kupanda ndege maana Nina mawazo mno
Kiufupi sijawahi panda ndege tokea nizaliwe sijui chochote! Nasafiri mwenyewe kutoka Kilimanjaro aiport mpaka dar alafu dar mpaka Amsterdam kutoka hapo mpaka Frankfurt hapo nitakutana na mwenyeji wangu
Hayo Ndo maelezo ya ticket yangu
Najiuliza hizi layover nitafanya nini? Nina masaa 14 Amsterdam na ninaskia ni uwanja mkubwa unapanda usafiri kabisaa kutoka sehemu moja kwenda nyingine! (naogopa ntapotea Mimi) au kuachwa na ndege
Sijui hata kucheck in hata chochote sintapotea huko katikati au kupoteza mabegi? Sijui hata Hali za hewa huko niendako nsije kufa kwa baridi kwenye hizo layover?
Nimejaribu kupitia baadhi ya nyuzi sielewi naomba mnieleweshe vizuri maana kadri siku zinavosogea nazidi kupagawa natamani kuahirisha! Nasafiri ndani December mwanzoni
Naombeni maelekezo pia Kama Kuna vitu vya muhimu vya kununua ninunue?
Hongera pia kwa wale walizoea kupanda ndege tokea utotoni na wazazi wao!
NB: ID ya zamani Ipo lakini muhimu ni kusaidiana Sio kuchambana ..mrejesho utakuja pia
Asanteni mmbarikiwe sana
Naombeni msaada wa maelekezo kuhusu kupanda ndege maana Nina mawazo mno
Kiufupi sijawahi panda ndege tokea nizaliwe sijui chochote! Nasafiri mwenyewe kutoka Kilimanjaro aiport mpaka dar alafu dar mpaka Amsterdam kutoka hapo mpaka Frankfurt hapo nitakutana na mwenyeji wangu
Hayo Ndo maelezo ya ticket yangu
Najiuliza hizi layover nitafanya nini? Nina masaa 14 Amsterdam na ninaskia ni uwanja mkubwa unapanda usafiri kabisaa kutoka sehemu moja kwenda nyingine! (naogopa ntapotea Mimi) au kuachwa na ndege
Sijui hata kucheck in hata chochote sintapotea huko katikati au kupoteza mabegi? Sijui hata Hali za hewa huko niendako nsije kufa kwa baridi kwenye hizo layover?
Nimejaribu kupitia baadhi ya nyuzi sielewi naomba mnieleweshe vizuri maana kadri siku zinavosogea nazidi kupagawa natamani kuahirisha! Nasafiri ndani December mwanzoni
Naombeni maelekezo pia Kama Kuna vitu vya muhimu vya kununua ninunue?
Hongera pia kwa wale walizoea kupanda ndege tokea utotoni na wazazi wao!
NB: ID ya zamani Ipo lakini muhimu ni kusaidiana Sio kuchambana ..mrejesho utakuja pia
Asanteni mmbarikiwe sana