Msaada tutani: Dogo kamzimia 'Shuga Mami'

Money Penny

JF-Expert Member
Jun 20, 2016
17,688
17,107
Kuna dogo jana kanifuata
Oh da Penny msaada wako na hekima yako plz

Kuna dada namfuatilia mwaka wa 2 sasa lakini napigwaaa tuuu
Kupigwaaa nina maana napigwa hela zangu afu anasepaaa sipewi kitu mapenzi hatoi kila siku kalenda kalenda na wewe

Money Penny: sasa na wewe unapigwa kalenda miaka 2 upo tuu?! Che dogo vepee?! kwani huyo dada ni nani labda?!

Dogo: hawa dada zetu, Zari ma design amezaliwa mwaka wa 80
Ila hataki kunielewa nikafuatilia sanaaa nikagundua yupo na KIBOPA m1 mtu mzima yule KIBOPA kama hana 45 basi anachezea 50. Anamzimiiiia wakati me najua yule kibopa ana mke na watoto hapa nataka nikamwaribie huyu demu kwa mke wa kibopa

Money Penny: ohooo usifanye hivyo bwana, huo ni utuyu, kwani wewe una miaka mingap
Dogo: miaka 28
Money Penny: sasa unataka ma shuga mami wa nini labda?! Huoni huyo kama dadako wa kuzaliwa?!
Dogo: kwan da penny haujui kuwa wadada wakubwa watamu sana?! Service na Mechi zao hawa umri wetu watasubiri miaka 1000, labda wakachukue twishen kwao. We haujiulizi kwanini Diamond Platnumz hachomoki kwa Zari?!
Me naomba nisaidie Da Penny maana na wewe ni umri huo huo nipe maujanja ya kumpata yule demu basi
Me nikasema du ngumu kumeza

Basi akina SHILAWADU wana JF msaidieini dogoo mpeni ramani maana me nahisi dogo atakuwa anakula sembe na sijui kautoa wapi maana si wameuzuia?!
 
Dogo si atafute dada mwingine wa ukweli....sa kama anapigwa mpunga na hakomi si atakuwa mwehu........madada ya ukweli town mbona yapo shazi....tena mengine hayataki hisani za vibopa................yanataka kupigwa mti wa maana tu....
 
Dogo si atafute dada mwingine wa ukweli....sa kama anapigwa mpunga na hakomi si atakuwa mwehu........madada ya ukweli town mbona yapo shazi....tena mengine hayataki hisani za vibopa................yanataka kupigwa mti wa maana tu....
Kwakweli maana kusubiria embe chini ya mnazi ni kitu kigumu sana
 
Kumbe penny na ww umekula magunia ya chumvi toka 80 wee upo tu utaki kufa eeeh unakomaa na jiji.....Ila fresh sio kesi

Kuhusu dogo ni kweli mishuga mamy mitamu sana tena sana ila huwa haipigi vibomu inakuwaje huyo bi.mdashi anapiga vibomu nawasiwasi nae......

Ila mwambie dogo atemane nae tusije MPA jina jipya bure la marehemu...... mbona ata kitaa kuna videmu kibao vinajua mambo
 
Kumbe penny na ww umekula magunia ya chumvi toka 80 wee upo tu utaki kufa eeeh unakomaa na jiji.....Ila fresh sio kesi

Kuhusu dogo ni kweli mishuga mamy mitamu sana tena sana ila huwa haipigi vibomu inakuwaje huyo bi.mdashi anapiga vibomu nawasiwasi nae......

Ila mwambie dogo atemane nae tusije MPA jina jipya bure la marehemu...... mbona ata kitaa kuna videmu kibao vinajua mambo
Eh makuubwaa!
Basi sawa atakucheki inbobo maana anasoma hapo anacheeeekaa

basi naomba unipe mimi
Me mke wa mtu jamaaa unataka kufa au kuishi?! Chagua moja!

ugonjwa wa mapenzi mbaya sana dogo anataka hapo hapo kwa shuga mami anapopigwa mahela
Ni sheeedaaah!
 
nani anataka marioo
Ahahahaha. Nimecheeeekaaaa Marioooooo ahahshaha

kumbe hata nikisoma kiswahili sielewi
Au umekuwa BASHITE bro? Div 0


Umesahau hadithi ya Karne ya 5 bro
SHIKAMOO Aliyejuu tunakusubiri chini
Karne ya 5 aliye juu mngoje chini, mliobaki mshuke basi, bado tunawasubiria jamaa ~ hehehe
Na

Ndani ya sku mbili hz unashusha nyuzi tu

Jamani it's a gift from God, am a writter by profession, soon natoa kitabu

Asanteni kwa upendo wenu keeping up with Money Penny sio kazi ndogoo
 
Mane peni acha tu

Mi nahisi huu ni ugonjwa uliotuvaa sisi vijana siku hizi .

Na diamond ndo kabisaaa kasababisha maradhi zaidi.

Kwakweli nishawahi kutoka na mdada alienizidi miaka 5 hivi au 6

Nilinogewa ilikuwa ngumu kuchomoka

Halafu kazaa watoto watatu Ila ni Fundi hasa

Tangu siku hiyo sivutiwi tena na hawa agemates wangu .

Kwanza naona miyeyusho tu

Naomba hii hali initoke maana daaah
 
Mane peni acha tu

Mi nahisi huu ni ugonjwa uliotuvaa sisi vijana siku hizi .

Na diamond ndo kabisaaa kasababisha maradhi zaidi.

Kwakweli nishawahi kutoka na mdada alienizidi miaka 5 hivi au 6

Nilinogewa ilikuwa ngumu kuchomoka

Halafu kazaa watoto watatu Ila ni Fundi hasa

Tangu siku hiyo sivutiwi tena na hawa agemates wangu .

Kwanza naona miyeyusho tu

Naomba hii hali initoke maana daaah

Jamaaani pole sana
Basi fanya kupata maombi kwa ma Pastor waondoe roho ya Jezebel mkubwa kwanza alafu
Utafute demu dogo umpeleke twishen za makungwi akapigwe msasa akae sawa au sio?!
 
Huyu binamu yangu!

Mbona Binamu tunakulaga tu, mpe bwana apooze kiu yake hapo kwako, muonee huruma mtoto wa mwanamke mwenzako. Anachohangaikia huko hadi analiwa pesa unacho na isitoshe ameshindwa kufikisha ujumbe direct ameamua autoe kwa njia hiyo
 
Back
Top Bottom