Msaada tuta kubwa: Mapenzi ya kutafsiri

Msaada tuta kubwa: Mapenzi ya kutafsiri

Kwa njaa hizi hakuna mwanamke mwenye ubavu wa kumpandishia kibesi mwanaume, tena kama ndio mzungu basi atalambwa hadi miguu
 
Aiseee niko njema mkuu
Vp ww mzee mwenzanga
Ulikutwa na mods nn
Maana nmeachiliwa ila
Kila kona ckukuona brother
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Baada y lile janga niliahidi ntaenda Congo sasa nilifika Bukavi nikawa natafuta vyumba maana madalali wa Bukavu wana sumbua sana.
So sikuwa naonekana hapa mpaka ijumaa.

Ile ban niliiona bhana, [emoji1] aseee ulitisha bob
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Baada y lile janga niliahidi ntaenda Congo sasa nilifika Bukavi nikawa natafuta vyumba maana madalali wa Bukavu wana sumbua sana.
So sikuwa naonekana hapa mpaka ijumaa.

Ile ban niliiona bhana, [emoji1] aseee ulitisha bob
Haa haa 😀 😀 😀 😀
Aisee na kweli uliamua kujipa
Ban la congo mkuu hao madalali
Wa bukav yan kama,wa tabata vle
😀 😀 😀 😀

Aiseee lilejanga lilinipa ban
La week mkuu dhaa yan
Waliniuz kichiz wale jamaa
Aiseee yan ndan ya dk 3
Furaha ikaenda na maji 😀 😀 😀 😀
Skuamin kabsa yan
 
Haa haa 😀 😀 😀 😀
Aisee na kweli uliamua kujipa
Ban la congo mkuu hao madalali
Wa bukav yan kama,wa tabata vle
😀 😀 😀 😀

Aiseee lilejanga lilinipa ban
La week mkuu dhaa yan
Waliniuz kichiz wale jamaa
Aiseee yan ndan ya dk 3
Furaha ikaenda na maji 😀 😀 😀 😀
Skuamin kabsa yan
Daaah
Yaan usser nilivo jiskia sku ile najua mwenyewe
Lakin maisha ya Bukavu yako poa, wiki ijayo naenda kutembea Goma.

See you around bro
 
Daaah
Yaan usser nilivo jiskia sku ile najua mwenyewe
Lakin maisha ya Bukavu yako poa, wiki ijayo naenda kutembea Goma.

See you around bro
Aiseee achatu mkuu
Nlipgwa 10 na kina rebery ruben
Lakin hii ckuona ktu cz nlishaizoea

Ila lile janga lilifanya nipate ucngz.
Saa 3 ucku aisee yan mpaka
Now naona n miujiza tu dhaaa

Aaaah!! Taliii brother uje na
Kimwana huko tubadilishane
Nkupe mkikuyu
 
Aiseee achatu mkuu
Nlipgwa 10 na kina rebery ruben
Lakin hii ckuona ktu cz nlishaizoea

Ila lile janga lilifanya nipate ucngz.
Saa 3 ucku aisee yan mpaka
Now naona n miujiza tu dhaaa

Aaaah!! Taliii brother uje na
Kimwana huko tubadilishane
Nkupe mkikuyu
Hahahaha
Usijali ninavo rudi ntakushtua umshawishi mmoja wa huku.
 
Mbona kichwa changu kinashindwa kuamini kabisa hii story???
Kipige ukutani afu kanawe uso urudi tena kumsoma darassa na mreno usikilize tena iyo video utaelewa

[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ya uongo ila nime ipenda

Si kama movie tu , yan nime burudika

Salute Penny
Ahahaha we una vituko asantee
Lkn at least mmecheka right?! Sio kila siku mnahuzunika na kushupaza vichwa

[emoji13][emoji13]
Kuzomea vepee?!

Haya tayari umeshauza sura mumie.
BARIDAA

Penny kwenye ubora,wake
Ahahahha weweee

Jiunge halichachi mkuu [emoji23][emoji23]
Nimecheeeekaa. Ahahaha nyie mna vituko

kichwa kimekataa kabisa yaani
Poyeeee
 
Kwa njaa hizi hakuna mwanamke mwenye ubavu wa kumpandishia kibesi mwanaume, tena kama ndio mzungu basi atalambwa hadi miguu
We stunter mtu keshaambiwa anaenda kumwua mamake una kaa nae kufanyaje labda?! Atakaefuata si wewe baada ya maza?!
 
We stunter mtu keshaambiwa anaenda kumwua mamake una kaa nae kufanyaje labda?! Atakaefuata si wewe baada ya maza?!
Sasa neno 'Kumrusha' ndio lilitafsiriwa vibaya si ndio??
Je hilo neno maana yake ni kumuua mtu? Angalau huyo jamaa angekuwa ni wa uarabuni tungesema wana historia mbaya, kumbe ni wa ufilipino maskini ya mungu,
Penny umezingua hapo au umesahau humu ni Home of the great thinker?
 
Kipige ukutani afu kanawe uso urudi tena kumsoma darassa na mreno usikilize tena iyo video utaelewa


Ahahaha we una vituko asantee
Lkn at least mmecheka right?! Sio kila siku mnahuzunika na kushupaza vichwa


Kuzomea vepee?!


BARIDAA


Ahahahha weweee


Nimecheeeekaa. Ahahaha nyie mna vituko


Poyeeee
Ha haa unanikoshaga c kitoto
 
Kipige ukutani afu kanawe uso urudi tena kumsoma darassa na mreno usikilize tena iyo video utaelewa


Ahahaha we una vituko asantee
Lkn at least mmecheka right?! Sio kila siku mnahuzunika na kushupaza vichwa


Kuzomea vepee?!


BARIDAA


Ahahahha weweee


Nimecheeeekaa. Ahahaha nyie mna vituko


Poyeeee
Hahahaha
Usjali, we mambo yako yanakuwa super haujaniangusha hapa, wacha tufurahi kama hivi
 
Sasa neno 'Kumrusha' ndio lilitafsiriwa vibaya si ndio??
Je hilo neno maana yake ni kumuua mtu? Angalau huyo jamaa angekuwa ni wa uarabuni tungesema wana historia mbaya, kumbe ni wa ufilipino maskini ya mungu,
Penny umezingua hapo au umesahau humu ni Home of the great thinker?
Me siwezagi ubishi jamaa nimeleta ubuyu kama ulivyo
Inawezekana hata wewe stunter english vepee!
Mbona na wewe umekosea
Fly home = kusafiri kurudi nyumbani
Fly back = ni?!
Tuanze hapo english bro
 
Me siwezagi ubishi jamaa nimeleta ubuyu kama ulivyo
Inawezekana hata wewe stunter english vepee!
Mbona na wewe umekosea
Fly home = kusafiri kurudi nyumbani
Fly back = ni?!
Tuanze hapo english bro
Mreno: but tommorrow morning i will have
to fly back to Philipine my mom is sick!
Waiter: kesho asbh anaenda kumrusha
mama yake huko filipine
Mtz: he?! why baby?! Hapa hata na mimi nilishtuka jaman,
nikaona kama muujiza!

..................
Ashakum si matusi Wewe Money Penny ni kichwa maji,
ukitaka kujua kwanini niulize nitakwambia,
ila kama umeelewa basi kausha
 
Back
Top Bottom