newmzalendo
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 1,378
- 550
Nimesajili kampuni kuwa LTD.
nahitaji
1.TIN registration
2.Leseni ya biashara
location ni wilaya ya kinondoni.
huitaji wangu ni wa haraka kidogo,within 4 days.
naomba maelekezo jinsi ya kupata vitu hivyo na ikiwezekana reference kwa mtu atakayeweza kurahisisha maisha ktk hili swala
nahitaji
1.TIN registration
2.Leseni ya biashara
location ni wilaya ya kinondoni.
huitaji wangu ni wa haraka kidogo,within 4 days.
naomba maelekezo jinsi ya kupata vitu hivyo na ikiwezekana reference kwa mtu atakayeweza kurahisisha maisha ktk hili swala