Msaada toshiba laptop inagoma ku boot

Msaada toshiba laptop inagoma ku boot

akrb

Senior Member
Joined
Mar 6, 2012
Posts
106
Reaction score
10
Salaam.laptop yangu niliweka win 8.1 pro baadae nikaamua kubadilisha nikaaenda kwenye settings kwenye option clean everithing sasa ikawa inachukua muda na inakwenda vry slow nikaamua kuizima na kuwasha tena ili niende kwenye options zingine baada tu ya kufanya hilo.inaandila PREPARING AUTOMATIC REPAIR then baada ya hapo inakuja DIAGNOSING YOUR PC.nimejRibu kila njia wapi inafanya hivo hivo.napmba msaada wenu....
 
Salaam.laptop yangu niliweka win 8.1 pro baadae nikaamua kubadilisha nikaaenda kwenye settings kwenye option clean everithing sasa ikawa inachukua muda na inakwenda vry slow nikaamua kuizima na kuwasha tena ili niende kwenye options zingine baada tu ya kufanya hilo.inaandila PREPARING AUTOMATIC REPAIR then baada ya hapo inakuja DIAGNOSING YOUR PC.nimejRibu kila njia wapi inafanya hivo hivo.napmba msaada wenu....

Hapo nafikiri itabidi uweke Windo nyingine tuu
 
Toa hdd 2iformat kwakutumia mashine nyingine(extn) 3rudishia sehemu yake endelea na zoezi lako. Au unaweza kutoa cmos battery na baterry kwa muda wa dk5 alafu ukaendelea. Au unaweza kuingiza(install) window 8.1kwakutumia mashine nyingine af ukaludisha hdd kwenye hiyo yenye tatizo ikajirekebisha ilimrad zingatia uwezo wa machine kama ni 64au 32bit
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom