Msaada Tecno C9 imegoma kuwaka

Msaada Tecno C9 imegoma kuwaka

Charles kikoti

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
461
Reaction score
121
Habarini waungwana kama nilivotangulia kuandika hapo juu, sim yangu ni mpya kilichofanyika nikuwa nili iformat cm yangu sasa wakati wa kuwaka imekomea katika sehemu ya kusearch Wi-Fi inaseatch tu haimalizi tangu asubuhi saa 5 mpaka saa 12 nasubiri labda itanipa option ya ku skip lakini hamna kitu. Je nifanyeje wandugu?
 
Jamani mimi mbona natumia tecno w4 lakini sipati nayo matatizo wakati ina muda mrefu tu
 
Duh.! Tecno Mutatuua Mimi mwenyewe natumia tecno pad7c
Ikianzaga inanisumbua lakini nakomaa nayo.
 
mkuu simu mpya si unairudisha ulipoinunua? si ina warranty?
hivi chief specification za hii simu kama c9. ukilinganisha na simu za kampuni nyingne kama iphone, sony, sumsung au lg bei yake ni shingapi.
 
Ifike kipindi sasa waingizaji WA Simu watuletee brand za china zenye akili Kama meizu,Xiaomi,gionee tuone hawa akina techo watauza Kwa nani haya makaratasi yao

Sent from mTalk
 
Pres batan ya kuwashia na ya kuongezea saut kwa pamoja halaf ulete mrejesho
 
Pres batan ya kuwashia na ya kuongezea saut kwa pamoja halaf ulete mrejesho
Mkuu nikifanya hivo inanipeleka kwenye recovery mode na niki reboot inaanza select cm for data, inafuata select cm for call inafuata select cm for massage baada ya hapo inafika katika searching for wife ndo inaendelea hivohivo mwisho ndo hapo inaishia.
 
Mkuu nikifanya hivo inanipeleka kwenye recovery mode na niki reboot inaanza select cm for data, inafuata select cm for call inafuata select cm for massage baada ya hapo inafika katika searching for wife ndo inaendelea hivohivo mwisho ndo hapo inaishia.
Hamn pa kuskip kwenye wi-fi?
 
Jaribu kuformat tena kupitia factory restore ya kwenye boot recovery
 
Habarini waungwana kama nilivotangulia kuandika hapo juu, sim yangu ni mpya kilichofanyika nikuwa nili iformat cm yangu sasa wakati wa kuwaka imekomea katika sehemu ya kusearch Wi-Fi inaseatch tu haimalizi tangu asubuhi saa 5 mpaka saa 12 nasubiri labda itanipa option ya ku skip lakini hamna kitu. Je nifanyeje wandugu?
Wipe simu kwa kutumia recovery kisha wipe na cache then reboot
 
hivi chief specification za hii simu kama c9. ukilinganisha na simu za kampuni nyingne kama iphone, sony, sumsung au lg bei yake ni shingapi.
mkuu matatizo ya simu za mediatek moja wapo ni kwamba hazina balance ya specs,

mfano cpu ya hii c9 sio mbaya inafanana na simu kama j7 au midrange za huawei kama honor 5x hivi.

ukija gpu ndio mehhh!! gpu yake ni mali 400mp2, kwa ulinganishi galaxy s3 gpu yake ni mali 400mp4, hizo mp zinamaanisha core za graphics s3 gpu yake ina core 4 wakati c9 ni core 2 hivyo gpu ya c9 ni dhaifu zaidi ya s3 simu ya mwaka 2012. halafu kibaya zaidi wakaeka na kioo cha full hd kwenye gpu hio.

hivyo huwezi fanya direct comparison na simu za kampuni kubwa


japo hii simu imezidiwa kila idara na midrange za kampuni kubwa kama huawei na samsung, yenyewe inauzwa bei ghali zaidi. ila sababu watu wamekariri tecno ni bei rahisi wanainunua hali ya kuwa hawajui.

hizi ni baadhi ya simu za kampuni kubwa zinazocompete na c9
-galaxy j5 na j7 (version za 2016 ni nzur zaidi)
-huawei honor 5x
-huawei g8
-motorola g4
etc

pia zipo simu za makampuni makubwa ya china (ukitoa huawei) kama xiaomi redmi note 3 ambazo zina specs kali kushinda tecno yoyote iliyopata kutengenezwa (nzuri kuliko phantom z5) kwa bei around dola 150. hizi zipo kenya bei kama laki 4 ya tz
 
Habarini waungwana kama nilivotangulia kuandika hapo juu, sim yangu ni mpya kilichofanyika nikuwa nili iformat cm yangu sasa wakati wa kuwaka imekomea katika sehemu ya kusearch Wi-Fi inaseatch tu haimalizi tangu asubuhi saa 5 mpaka saa 12 nasubiri labda itanipa option ya ku skip lakini hamna kitu. Je nifanyeje wandugu?
Android 6 ina uki format lazima uweke wifi ili ku sign na google account wanaita FRP factory reset protection hivyo tafuta internet ya wifi itaendelea vizuri
 
hivi chief specification za hii simu kama c9. ukilinganisha na simu za kampuni nyingne kama iphone, sony, sumsung au lg bei yake ni shingapi.
tulishasema na kurudia saana kuwa hakuna simu yoyote ya tecno itakayouzwa zaidi ya laki 2 kulingana na material yanayotumika kuzitengeneza. mfano majuzi kuna nesi mmoja (jina kapuni) akauziwa tecno winpad kwa sh laki9. ameitumia kwa wiki3 tu imegoma kupokea charge, jana nilipoenda kwake nikamwambia kuwa pamoja nakuibiwa airudishe tu alikoinunua wamtengenezee. jamani kuweni makini
 
Mkuu nikifanya hivo inanipeleka kwenye recovery mode na niki reboot inaanza select cm for data, inafuata select cm for call inafuata select cm for massage baada ya hapo inafika katika searching for wife ndo inaendelea hivohivo mwisho ndo hapo inaishia.
kaka pole sana kwa janga hilo, hiyo simu si ni mpya ina week 2 tu? hebu warudishie dukani ulikonunua
 
Back
Top Bottom