Cmu yangu ya tecno c5 ambayo bado mpya kila nikizima halafu kuiwasha baada ya masaa kadhaa inaniambia battery low tena hukataa kuwaka mpaka niiweke kwenye charge naombeni msaada wakuu tatizo nn hapo
Cmu yangu ya tecno c5 ambayo bado mpya kila nikizima halafu kuiwasha baada ya masaa kadhaa inaniambia battery low tena hukataa kuwaka mpaka niiweke kwenye charge naombeni msaada wakuu tatizo nn hapo