MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,491
- 8,721
Habari wakuu.
Nilikuwa na shida ya UTI kwa muda ilinisumbua nikaja nikatumia dawa hasa za mitishamba ikaisha maana za dukani zilidunda zote.
Shida ni kwamba bado mkojo unakuwa unachoma ila nikipima no UTI. Nimeshapima hadi hospitali kubwa inaleta negative.
Je, nini tatizo? Msaada please
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa na shida ya UTI kwa muda ilinisumbua nikaja nikatumia dawa hasa za mitishamba ikaisha maana za dukani zilidunda zote.
Shida ni kwamba bado mkojo unakuwa unachoma ila nikipima no UTI. Nimeshapima hadi hospitali kubwa inaleta negative.
Je, nini tatizo? Msaada please
Sent using Jamii Forums mobile app